Dark days 17/03/20...

Kama ni hivi nakuunga mkono BT. BT ni WA muhimu sana kwenye hii nchi, watu hawajui tu
Wakuu...ile kampuni ya jirani...inafaa tuelewe kwamba wao wana system yao ya ma ceo. Yani ma ceo wao wanachaguliwa na board of directors kutoka kwenye jopo la board of directors...ambao ndio wamiliki wa kampuni(wana hisa kubwa kuliko customers). Yani mchezo unabaki pale pale....hata customer awe na c.v iliyoje ni ngumu sana afikie u ceo...

Kampuni yetu...bado iyo system hakuna...ndo maana kila ceo amekuwa wa tofauti flani ivi, ila BT ndio anataka ianzisha.

Sasa ceo anayeondoka... hana mazoea na ceo p mrefu wa ile kampuni iliyo jirani na kwetu...wale ni washindani kwenye u ceo.. maanake kila mmoja anataka kampuni yake iwe inaongoza kwenye ukanda mzima wa majirani.

Na pia hawezi kumuachia uceo yule toru. Maana toru sio mzawa wa board of directors kama odii...

toru ni customer aliyefikia ngazi za juu sana...na isitoshe hawezi kuwa ceo...maanake anakotoka kuna mwana wa ceo aliyetangulia mbele za haki kwa jina la imo...na uyo uyo imo ndie alimpa toru uwezo wa kufikia hapo ila toru akajaa kichwa, kabla imo arudishe jezi kwa kipa, alisha kasirishwa na toru hata hakutaka kuonana nae. Kuna wakati imo alimkalisha toru masaa karibia sita na bado hukuonana nae na hapo toru alikuwa assistant ceo.

Yani toru ameamua kupambana uso kwa uso na board of directors...ubaya sasa hafati zile 48 laws of power.

Odii yeye, ni amekuwepo kwenye board of directors...na pia lady gaga wake. Yani hapo lady gaga wake hawezi kuwa deep informer hata kidogo...na istoshe haziivi hata kidogo na toru. Unaambiwa lady gaga wao ndio atasimamia mchongo mzima wa kumueka toru ndani kwa shtaka la kuhujumu kampuni.

Odii yeye...ni board of directors wameona wamueke kwa sababu ana njia mbadala ya kuimarisha maisha ya customers na wenye kampuni bila kuleta mgongano. Na pia ni ili kuvunja mipango iliyokuwa inaleta vurugu ambayo ilianzishwa na baba yake ceo anayeondoka, na ingeendelea...kampuni ingekufa.

Toru akipata...hapo jirani patakuwa kama jiwe alivyokuwa. Na bora ata jiwe alikuwa kidogo customers wa chini kabisa anawaelewa...mnaambiwa huyo toru ni mafia. Na isitoshe atataka kuwalipizia board of directors kama jiwe alivyomfanyia BT...kwa iyo hawataruhusu ivi ivi.

Na ceo anayeachia anataka hata akiachia ngazi...bado awe na maamuzi, yani board of directors ibaki pale pale...kitu ambacho toru atakipinga.
 
Wakuu...ile kampuni ya jirani...inafaa tuelewe kwamba wao wana system yao ya ma ceo. Yani ma ceo wao wanachaguliwa na board of directors kutoka kwenye jopo la board of directors...ambao ndio wamiliki wa kampuni(wana hisa kubwa kuliko customers). Yani mchezo unabaki pale pale....hata customer awe na c.v iliyoje ni ngumu sana afikie u ceo...

Kampuni yetu...bado iyo system hakuna...ndo maana kila ceo amekuwa wa tofauti flani ivi, ila BT ndio anataka ianzisha.

Sasa ceo anayeondoka... hana mazoea na ceo p mrefu wa ile kampuni iliyo jirani na kwetu...wale ni washindani kwenye u ceo.. maanake kila mmoja anataka kampuni yake iwe inaongoza kwenye ukanda mzima wa majirani.

Na pia hawezi kumuachia uceo yule toru. Maana toru sio mzawa wa board of directors kama odii...

toru ni customer aliyefikia ngazi za juu sana...na isitoshe hawezi kuwa ceo...maanake anakotoka kuna mwana wa ceo aliyetangulia mbele za haki kwa jina la imo...na uyo uyo imo ndie alimpa toru uwezo wa kufikia hapo ila toru akajaa kichwa, kabla imo arudishe jezi kwa kipa, alisha kasirishwa na toru hata hakutaka kuonana nae. Kuna wakati imo alimkalisha toru masaa karibia sita na bado hukuonana nae na hapo toru alikuwa assistant ceo.

Yani toru ameamua kupambana uso kwa uso na board of directors...ubaya sasa hafati zile 48 laws of power.

Odii yeye, ni amekuwepo kwenye board of directors...na pia lady gaga wake. Yani hapo lady gaga wake hawezi kuwa deep informer hata kidogo...na istoshe haziivi hata kidogo na toru. Unaambiwa lady gaga wao ndio atasimamia mchongo mzima wa kumueka toru ndani kwa shtaka la kuhujumu kampuni.

Odii yeye...ni board of directors wameona wamueke kwa sababu ana njia mbadala ya kuimarisha maisha ya customers na wenye kampuni bila kuleta mgongano. Na pia ni ili kuvunja mipango iliyokuwa inaleta vurugu ambayo ilianzishwa na baba yake ceo anayeondoka, na ingeendelea...kampuni ingekufa.

Toru akipata...hapo jirani patakuwa kama jiwe alivyokuwa. Na bora ata jiwe alikuwa kidogo customers wa chini kabisa anawaelewa...mnaambiwa huyo toru ni mafia. Na isitoshe atataka kuwalipizia board of directors kama jiwe alivyomfanyia BT...kwa iyo hawataruhusu ivi ivi.

Na ceo anayeachia anataka hata akiachia ngazi...bado awe na maamuzi, yani board of directors ibaki pale pale...kitu ambacho toru atakipinga.
Nakunywa maji kwanza
 
Wakuu...ile kampuni ya jirani...inafaa tuelewe kwamba wao wana system yao ya ma ceo. Yani ma ceo wao wanachaguliwa na board of directors kutoka kwenye jopo la board of directors...ambao ndio wamiliki wa kampuni(wana hisa kubwa kuliko customers). Yani mchezo unabaki pale pale....hata customer awe na c.v iliyoje ni ngumu sana afikie u ceo...

Kampuni yetu...bado iyo system hakuna...ndo maana kila ceo amekuwa wa tofauti flani ivi, ila BT ndio anataka ianzisha.

Sasa ceo anayeondoka... hana mazoea na ceo p mrefu wa ile kampuni iliyo jirani na kwetu...wale ni washindani kwenye u ceo.. maanake kila mmoja anataka kampuni yake iwe inaongoza kwenye ukanda mzima wa majirani.

Na pia hawezi kumuachia uceo yule toru. Maana toru sio mzawa wa board of directors kama odii...

toru ni customer aliyefikia ngazi za juu sana...na isitoshe hawezi kuwa ceo...maanake anakotoka kuna mwana wa ceo aliyetangulia mbele za haki kwa jina la imo...na uyo uyo imo ndie alimpa toru uwezo wa kufikia hapo ila toru akajaa kichwa, kabla imo arudishe jezi kwa kipa, alisha kasirishwa na toru hata hakutaka kuonana nae. Kuna wakati imo alimkalisha toru masaa karibia sita na bado hukuonana nae na hapo toru alikuwa assistant ceo.

Yani toru ameamua kupambana uso kwa uso na board of directors...ubaya sasa hafati zile 48 laws of power.

Odii yeye, ni amekuwepo kwenye board of directors...na pia lady gaga wake. Yani hapo lady gaga wake hawezi kuwa deep informer hata kidogo...na istoshe haziivi hata kidogo na toru. Unaambiwa lady gaga wao ndio atasimamia mchongo mzima wa kumueka toru ndani kwa shtaka la kuhujumu kampuni.

Odii yeye...ni board of directors wameona wamueke kwa sababu ana njia mbadala ya kuimarisha maisha ya customers na wenye kampuni bila kuleta mgongano. Na pia ni ili kuvunja mipango iliyokuwa inaleta vurugu ambayo ilianzishwa na baba yake ceo anayeondoka, na ingeendelea...kampuni ingekufa.

Toru akipata...hapo jirani patakuwa kama jiwe alivyokuwa. Na bora ata jiwe alikuwa kidogo customers wa chini kabisa anawaelewa...mnaambiwa huyo toru ni mafia. Na isitoshe atataka kuwalipizia board of directors kama jiwe alivyomfanyia BT...kwa iyo hawataruhusu ivi ivi.

Na ceo anayeachia anataka hata akiachia ngazi...bado awe na maamuzi, yani board of directors ibaki pale pale...kitu ambacho toru atakipinga.
Kwa situesheni hii je mabomu hayatarindima huko na kupelekea vifo vingi vya kastamazi???
 
Kwa situesheni hii je mabomu hayatarindima huko na kupelekea vifo vingi vya kastamazi???
Kwenye ile kampuni, wanataka wawe na mfumo wa mbadilishano wa ma ceo ambao hapatawahi kuwa na ugomvi na pia system ya board of directors iaminike kwa ma customer.

Unajua mibadilishano mingine ya ma ceo baada ya imo kuachia ngazi imekua na vurugu kwa sababu hapo ni vita vya mafahali wawili....yani humo humo ndani ya board of directors.

Yote haya yaliletwa na profesa wa mambo ya kampuni ceo imo himself ambaye alitumia mbinu hiyo ya kuwagawanya customers ili abaki kwenye u ceo kwa muda mrefu. Kila aliyepo ngazi za juu au ana kaushawishi saivi...kama kina lady gaga, lonzoka, saliamu, n.k..wote kwa tasfida wanaitwa watoto wa imo. Yani kila mmoja alichaguliwa na imo mwenyewe au tuseme ndio amewakuza.

Ceo wa sasa na odii, wao baba zao walikuwa mmoja ni ceo...na mwenzake assistant...wakapishana sera.

Sasa, ikumbukwe kwamba odii ni jamaa limebobea mpaka baba yake mwenyewe alikubali jamaa ni noma...sema sasa alimletea imo competition kali, enzi zile ilikuwa imo anakupoteza...ila si unajua odii ni mwanafamilia. Kwa iyo imo akamueka odii ndani tu, hapo ni baada ya babaake odii kumuomba imo amsitiri mwanae...hata alivyomuachia nje bado odii alikua kiboko...yani odii ndio alisambaratisha kile kiwanda cha nuka...kukawa na mfumo wa viwanda vingi. Pale sasa ni kwamba odii alikuwa anajaribu kuwaelewesha board of directors kwamba msijisahau sana mkaacha kuwajali customers la sivyo itakula kwenu.

Board of directors wakawa wanapuuzia...lakini wamekuja kumuelewa. Na istoshe walikua wanamuona odii kama mtoto mtukutu...kama vile anaweza akarevenge. Ila sasa hawana option...na odii nae wamekuja kujua ni mpenda kampuni toka rohoni...hana ubaya na mtu.

Sasa wamepata adui mpya, kwa iyo ikabidi wa sort tofauti zao.. ili waweze kumaliza huyu adui ambaye wanaona kama ni moja wapo ya makosa ya imo. Na pia wao wenyewe waweke mambo yao sawa maanake wanaona customers watakuja wapindua.

Kwa iyo...vurugu hawataki saivi...na hawataruhusu...maanake vurugu ni effects za uongozi wa imo. Na hapo kama sio katiba ya kampuni ya saivi, toru angekuwa saivi yuko nyumbani hakuna anayemkumbuka.

Kwa mfano ceo wa sasa...babaake alikuwa ceo, imo ndio amemtengenezea system...akamfundisha afike hapo alipo...na ndie aliemshauri arekebishe makosa hayo, bakiki alikuwa godfather wake...na ndiye aliempa jina la free...wote hao wamekua ma ceo....hadi sasa. Ndo system iyo...
 
Mtaingiza watu kwenye matatizo bure acheni hisia zisizokua na tija, wakati unaweza kuta mwenye uzi wake yupo USA anaratibu mgogoro wa Taiwan na China, acheni Mambo aya wakuu
Yoga alishasema kitambo kuwa huku TZ kukiwa usiku, huko alipo ni mchana.

Ni heri mkiwa na hisia za kuwa yoga ni Mange 😂

Anyway tuachane na hisia hizo tusubiri 00:00 season 2 itaachiliwa tujimwage.
 
Yoga alishasema kitambo kuwa huku TZ kukiwa usiku, huko alipo ni mchana.

Ni heri mkiwa na hisia za kuwa yoga ni Mange

Anyway tuachane na hisia hizo tusubiri 00:00 session 2 itaachiliwa tujimwage.
kama yoga ni mange atakuwa na stress sana mda huu, anafatilia Instagram page yake. Ila kama kweli kesho chebukati atatangaza matokeo, na yoga akaja kuendelea nitamwamini milele
 
Back
Top Bottom