Dark arts za intellijensia na utata wa kifo cha jasusi

Mkuu zitto junior mada yako ni fikirishi sana

na nimepitia kila comment humu na nimejiunza mengi

yapo yaliyoniingia na nimeyaunga mkono na yapo yaliyoniacha njiapanda na yapo ambayo hayaingii akilini hata kidogo

all in all nimeenjoy kusoma mada hii na comments husika

next time naomba unitag kwa thread kama hizi

Thanks mkuu
Hii umeipitia mkuu?
 
Na wakati akiyafanya hayo vp CCTV camera kutomuona mkuu..
Ni rahisi mno, aliyefanya yale mauaji alikuwa ni mjuzi wa
Chi power (vital force)
Telekinesis na
Telepathy
Muuaji alichofanya ni kutumia CHI POWER Kuondoa uhai bila kumgusa mhanga.. Yani anarusha mkono lakini haumfikii mhanga kinachofika ni nguvu yenye mitetemo (vibrations) ndio inayopiga
Baada ya hapo muuaji alitumia telekinesis /telepath kumnyanyua kumuingiza kwenye begi kufunga begi nk bila kugusa chochote
Telekinesis ni uwezo wa kuhamisha vitu bila kuvigusa

Jr
 
Aaah aaah aah msee mjanja mjanja wewe..

Una kamba saaana dah
Mh ok
Ni wachache wamewahi kusoma aina hii ya ujuzi na wakatoka salama na ndio maana hadi leo sio sayansi pana miongini mwa jamii nyingi za kijasusi....

Lakini mkuu zitto junior ili walau uelewe kwa mbali inabidi usome kuhusu huo uchawi mweusi na huyo jasusi inaonekana aliuwawa kwa CURSES HEXES ambapo nia ni kukufanya uwe mhanga wa kifo katika uwezo wako mwenyew na aina hii ya mauaji hufanyika eneo tulivu sana huku muuaji akiwa katika angle ya Brevity na mlengwa akiwa angle ya curation.....

Hii inakuwa ni kama zoezi la kuhamisha kivuli chako mwenyewe na alipakiwa kwenye begi kwa njia ya SPELL ambapo unaweza kuamua kufanya kitendo ukiwa nyuma ya kitu yani mfano unaweza kuhamisha kitu ndani nakukiweka sehemu nyingin ukiwa nje na umefunga mlango ila lazima uwe karibu na mlango.....

Dah huyo jamaa alikufa kifo kibaya sana na chenye mateso mengi japo hakina ushahidi...

Lakini pia alieuwa naamini alikuwa katika mazoezi ya vitendo....

Naomba niishie hapa ila ni hatar kujifunza Dark Magic/art View attachment 855182View attachment 855182View attachment 855183View attachment 855182View attachment 855183
 
Salaam Wakuu!Kiongozi zitto jr. mada ya leo ni ngumu kuifafanua kwa kweli!
Dark Arts/Dark Magic na Mashirika ya Kijasusi au Ujasusi ni Jambo tata kulithibitisha - Ubishi ni Mwingi sana- Lakini wasomi wa mambo ya espionage wanakiri kuwepo kwa Mafunzo hayo katika Kambi za Ujasusi kote ulimwenguni - Ni Mafunzo kimsingi ambayo Jasusi huwezeshwa ili aweze kumudu kazi zake vyema na kwa ustadi mkuu - Wanadai ni pamoja na Kufungua Makufuri ya milango bila funguo,Kujificha sehemu iliyowazi bila mtu kukuona(Camouflage).
Kupotea mbele ya Macho ya watu - Sio Kimazingaombwe bali ni kwa kukalukuleti umakini wa watu na kuwaacha wanazubaa,hii mimi nishahidi kabisa nadhani hii inafundishika kirahisi - Wakati wa Kampeni za Urais 2006 - Wale wajamaa wa kitengo walikuwa wanne wamepanda pembeni ya Vx ya Mgombea wa CCM JK;Jamaa waliluka toka kwenye gari wakapotolea kwenye Umati wa Watu;Sikuweza kuwaona walipoelekea.
Kuua mtu bila kuacha alama - Hapa sasa inahusisha mafunzo ya kuimprovise sumu rahisi kwenye mazingira uliyopo,au kutumia mikono au kitu chochote ambacho kinamfanya adui apoteze uhai kwa haraka.
Inasemekana Kuna Sumu inatengenezwa Saudia Arabia - Sumu hii (Jina nimelisahau) inatumiwa sana na Majasusi na watu waliopania kulipa kisasi;Ukimwekea mtu kwenye Chakula hata umpeleke wapi? watasema ni Shinikizo la Damu tu.

Lakini nadharia nyingine inadai Black arts inahusishwa na mambo ya Kimshana Jr (Occultism). Hii inahusisha Ushirikina kabisa wa kutazama Nyota na Nguvu za Asili. Na baadhi ya watu walifanikiwa sana kwenye Ujasusi wakati wa Vita vya Pili vya Dunia walikuhishwa na matumizi ya Black art akiwemo Hitler na genge lake.
wengine wanadai inahusisha mpaka Magical Spells;ABRACADABRA.
Lakini shida inakuja hakuna anayeweza kuthibitisha kuwa Watu wa vitengo vya Ujasusi hutumia mambo ya namna hii.

Miaka 1980's Ndugu Ludovick Mwijage akiwa katika nchi ya Swaziland akiendelea kusaka haki ya Ukimbizi wa kisiasa,akiwa katoroka Tanzania akijaribu kutafuta namna yakutorokea Ulaya anakutana na Sheikh Yahya Hussein naye akiwa katika shughuli zake za kutibu watu hapo swaziland,ghafla anapata ushawishi wakukutana na Sheikh yahya na kumwelezea shida yake ya kukosana na Utawala wa Nyerere,Sheikh anaonesha huruma na kusikitishwa sana na kumpa apointment amtafute waongee zaidi;akamwambia afike hotel aliyofikia pale swaziland.
Siku aliyofika alikwenda na Documents zake muhimu kwa Sheikh;Lakini alipotaka kuondoka akazikosa kabisa zile documents zikapotea katika mazingira ya kutatanisha - Sheikh akaonesha kushangaa kweli eti documents zimepotea poteaje pale!
Jamaa akaamua kuondoka bila documents zake akiamini kuwa labda kazisahau mahala pengine; lakini kila akikumbuka anashangaa kwamba wakati anakwenda kwa Sheikh Alikwenda nazo!

Bahati mbaya akajichanganya akadakwa na Frelimo wakampakia mpaka Msumbiji,baadae akakabidhiwa kwa TISS Mtwara; wakamsafirisha mpaka Dar; Akafikishiwa Black site moja kwa ajili ya Mahojiano mazito na Mateso;Ni wakati wa mahojiano ndipo alipobaki Mdomo wazi ; Jamaa wakaja na zile Documents alizopoteza Swaziland akiwa chumbani kwa Sheikh! Je ? Hiyo ndio Black Arts?

Asante Zitto Jr! Kwa Kunitag! Be Blessed Man.
Kupotea mbele ya macho ya watu. Ni sahihi kabisa
 
Mh ok
Ni wachache wamewahi kusoma aina hii ya ujuzi na wakatoka salama na ndio maana hadi leo sio sayansi pana miongini mwa jamii nyingi za kijasusi....

Lakini mkuu zitto junior ili walau uelewe kwa mbali inabidi usome kuhusu huo uchawi mweusi na huyo jasusi inaonekana aliuwawa kwa CURSES HEXES ambapo nia ni kukufanya uwe mhanga wa kifo katika uwezo wako mwenyew na aina hii ya mauaji hufanyika eneo tulivu sana huku muuaji akiwa katika angle ya Brevity na mlengwa akiwa angle ya curation.....

Hii inakuwa ni kama zoezi la kuhamisha kivuli chako mwenyewe na alipakiwa kwenye begi kwa njia ya SPELL ambapo unaweza kuamua kufanya kitendo ukiwa nyuma ya kitu yani mfano unaweza kuhamisha kitu ndani nakukiweka sehemu nyingin ukiwa nje na umefunga mlango ila lazima uwe karibu na mlango.....

Dah huyo jamaa alikufa kifo kibaya sana na chenye mateso mengi japo hakina ushahidi...

Lakini pia alieuwa naamini alikuwa katika mazoezi ya vitendo....

Naomba niishie hapa ila ni hatar kujifunza Dark Magic/art View attachment 855182View attachment 855182View attachment 855183View attachment 855182View attachment 855183
Mkuu Kudo hii nondo ni ya ndani sn aisee....... Napata burudani na elimu pia
 
Ni rahisi mno, aliyefanya yale mauaji alikuwa ni mjuzi wa
Chi power (vital force)
Telekinesis na
Telepathy
Muuaji alichofanya ni kutumia CHI POWER Kuondoa uhai bila kumgusa mhanga.. Yani anarusha mkono lakini haumfikii mhanga kinachofika ni nguvu yenye mitetemo (vibrations) ndio inayopiga
Baada ya hapo muuaji alitumia telekinesis /telepath kumnyanyua kumuingiza kwenye begi kufunga begi nk bila kugusa chochote
Telekinesis ni uwezo wa kuhamisha vitu bila kuvigusa

Jr
Mkuu Mshan Jr...... Nataka kujifunza hiyo Telekinesis nafanyaje?
 
93 Reactions
Reply
Back
Top Bottom