Dark arts za intellijensia na utata wa kifo cha jasusi

The Dark Arts of Espionage:
Typical training for an intelligence agent
includes but is not limited to: covert
surveillance, slight of hand, con-artistry,
manipulation tactics, personality-type
identification, lying, cheating, stealing,
trickery, camouflage, evasion, escape,
improvised weaponry, improvised self
defense, analytical combat, and espionage.
Part of intelligence training is instruction in
something called the "Dark Arts". The Dark
Arts are the espionage, trickery, con artistry
type stuff.
The Dark Arts are a social science that has
been developed through the detailed study
of proven experiments. Quite basically, a
study of what works, has worked in the
past, and is likely to work on a given mark.
The CIA undertook a detailed study of Con
Artists and their scams in order to derive
these methods. Top 10 Con-Men of Recent
History
Not everyone has what it takes to effectively
pull this off. It takes confidence and a good
amount of acting. It takes an artist who is
quick, versatile, and creative. But if studied,
practised, and perfected these methods can
and do work.
 
Utamu wa ngoma unaujua ukicheza.

Nimeangalia kwa makini hilo begi na kuangalia hao Northern face ni akina nani na wanafanya nini na wana bidhaa gani ?
Moja wapo ya bidhaa ambayo northern face wanaiuza ni sleeping bag( begi la kulalia)

Mabegi ya kulalia yapo ya aina nyingi kutegemeana na matumizi, na ni mabegi ambayo binadamu mwenye ukubwa wowote anaweza akaingia ndani akajifungia zipu na akajikinga na baridi(hali ya hewa mbaya) n.k. Haya mabegi yanatumika sana kwenye ma kempu, pia watu wanaolala kwenye tent lakini pia yanaweza yakatumika indoor ( ndani ya nyumba) kutegemeana na hitaji la mtumiaji.

Kwa muktadha huu, nimepata picha kuwa inawezekana muhusika aliingia kwenye sleeping bag peke yake bila kushurutishwa na mtu na ajali ikatokea, ingawa pia tujiulize hali ya hewa ilikuwaje wakati huo?

Pia inawezekana katika hilo begi kulikuwa na sumu au kuliwekwa aina ya sumu ambayo inaua kwa haraka sana na inapotea hewani kwa haraka sana bila kuja kugundulika kiurahisi.
Inawezekana pia hapo aliponunua begi au kama halikuwa jipya basi pale wanapoliosha wamehusika na wanajua mchezo mzima.

Nimewaza kingombaro ngombaro tu, sina ufahamu wa hayo mambo ila nipo tayari kukosolewa na kujifunza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko deep.
Lakini inasemekana jamaa alifungiwa na kufuli kwa nje na funguo zikiwa mgongoni ndani yake, na hakuna alama za vidole...
 
Kwenye martial arts dark art ipo ila mimi nitadadavua kidogo karate,kwa aliye advance karate kuna kitu tunaita msawazo wa AKILI,ROHO na MWILI una vicombine kua kitu kimoja ndio inazaa hiyo kitu inaitwa dark art ila kwenye karate tunaita CHI au INNER POWER kwenye GOJURYU KARATE hii unaipata vizuri ktk SANCHIN KATA na TENSHO KATA uki practice vizuri na MOKUSO/MEDITATION za mara kwa mara
 
Kila Mtu alie bobea kwenye Anga zake ni lazima tumchukulie tofauti ,wengine watasema ni Miujiza wengine watasema ni Mchawi nk.

Nionavyo mimi Kazi ya Ujasusi ina kanuni zake ngumu sana kuzifuata kwa baadhi ya walio zichagua hizo Kazi.Wakati mwingine ni Michezo ya wao kwa wao ndani humo kwa maslahi mapana ya Nchi zao.Mbuzi amefia kwa Bwana Kheri hamna Kosa hapo.

Inawezekana tukasema na kutafsiri vyovyote vile kutokana na Mauaji yalivyo tekelezwa na Majibu ya Serikali ,Ukweli wanaujua wenyewe ndani ya Sistim huko.Binafsi nna aamini tumesha lishwa Uongo mwingi sana kuliko Ukweli ktk hii Dunia ..
 
Hivi uchawi sio sayansi?

Juzi nilisikia BBC wakimuongelea jamaa mmoja huko njombe ambaye anatumia mbuzi kujilinda. Anasema kuna kitu (hirizi) alimmezesha huyo mbuzi. Hata namna mbuzi anavyolia ipo tofauti.

Kuna nyakati huwa nafikiria kuwa kile tunachoita "uchawi" pengine ni sayansi kabisa ila tu kwa sababu "hatujui" knavyofanya kazi.
 
Kwa maoni yangu nadhani dark art ni sayansi inayohitaji umakini wa hali ya juuu sana na pia hufundisha au hutumiwa na watu maalumu katika vitengo maalumu tena kwa kazi maalumu kwa maslahi ya taifa au mtu flani

Dark art hutumiwa na aina tofauti za watu takupa mfano

Katika pita pita zangu siku moja nilijikuta niko mkoa wa tabora wilayani sikonge katika kata ya kitunda kuna sehemu wanapaita lukula kuna mambo mengi sana lakini kule ni polini na kuna Hifadhi za wanyama na pia kuna ujangili sana na wizi wa kutumia silaha pia katika vijiwe kupata story za hapa na pale nikakutana n.a. story ya jamaa mmoja ambaye aliwasumbua sana polisi unaambiwa huyo polisi walikua wanamtafuta hata kama mmekaa sehemu mnapiga story dakika tano kabla ya polisi kuja anaweza kusema aah mi nimechoka jamani naondoka pale anaondoka tu basi polisi hawa hapa tena wanataKA vibaya mno na wakimfatilia hawampati wakati wote mlijua jamaa leo ameisha

Katika kutaka kujua zaidi niliambiwa huyu jamaa ni kawaida yake sometimes anaweza kubeba silaha za hatari kama bunduki za hatari na akakutana na polisi lakini wakamuachia na wala wasione kama ni muhalifu lakini baada ta dakika kadhaa wanakuja kushituka kumbe wamemuachia waliekua wanamtafuta

Kwa kule ilisemekana jamaa no mchawi wa hatari that's why nakubaliana na wachangiaji pale juu kwamba dark art ina uhusiano wa karibu sana na ushirikina ingawa siwezi kua na majibu ya moja kwa moja

Serikali zetu hizi zote haya mambo nazani ndio kipaumbele cha kwanza kabla hata ya ulinzi wa kawaida

Hapo zamani kidogo kuna uzi uluongelea maswala ya ulinzi kidogo wa nchi na pia kulikua na mtaaaluamu wa maswala ya giza aliekua anatambuliwa na kiongozi wa nchi kuanzia nyerere paka mkwele ila jiwe sijapata data zake

So I think dark art ni neno smart tu la kutumia kuhalalisha upande wa pili
 
Kuna vitu vingine huku uswahilini vinafanyika tunaona kawaida tu km hyo dark art kuna mshikaji mtaani akiwa hana kitu anaweza kuingia duka lolote akachukua vitu anavyotaka na akatoka bila kulipa hata 100 hila anasema mashart yake wanaouza wasimuone macho yake yaani macho yake na ya wenye duka yasikutane wakati anaingia hila Akishafika kwenye za kutundikia nguo anatia kwenye begi hata pair 20 na anaondoka bila kuwaangalia usoni na maduka yana camera.
 
Kuna vitu vingine huku uswahilini vinafanyika tunaona kawaida tu km hyo dark art kuna mshikaji mtaani akiwa hana kitu anaweza kuingia duka lolote akachukua vitu anavyotaka na akatoka bila kulipa hata 100 hila anasema mashart yake wanaouza wasimuone macho yake yaani macho yake na ya wenye duka yasikutane wakati anaingia hila Akishafika kwenye za kutundikia nguo anatia kwenye begi hata pair 20 na anaondoka bila kuwaangalia usoni na maduka yana camera.
Duuuh hii mpya hii
 
Write your reply...wanaposema jasusi anapita kama upepo haonekani kwenye cctv,haina maana kuwa kweli hupita pale kimazingara,hawa watu kabla ya kwenda kufanya tukio sehemu,wanastudy eneo na kuangalia camera ziko angle gani,kwahiyo anapopita anapita angle ambayo camera haitamnasa,na kama coverage ni ngumu kuikwepa wanahack mfumo wa cctv usiweze kunasa matukio kwa mda atakaoukua anaingia hadi kutoka mahali
Angalia hiyoView attachment VID-20181007-WA0009.mp4
 
KWA SISIS TULIOLELEWA KWENYE DINI ZOTE: uisilamu na ukiristo...PIA TUKAPELEKWA SHULE NJE YA NCHI...pia tukaishi maisha ya chini na tabu...halafu TUKAIBUKA UTADHANI TULIKUWA TUMEFICHWA KWENYE TANULU LA MOTO...tunayo majibu ya mnachozungumzia ILA HATUWEZI KUSEMA...by force by fire.
Duuuh hyo kali
 
93 Reactions
Reply
Back
Top Bottom