Richard
JF-Expert Member
- Oct 23, 2006
- 14,939
- 20,399
Unamaanisha nini unaposema "...kimedani" ? Naona umetumia tamko hilo kama sifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kweli suali lako ni gumu kidogo.
Nafikiri nimetumia maana mbili kwa moja au?
Au niwie radhi kama umeelewa kivingine.