BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,313
DARASA FT BEN POL ~ MUZIKI
1.2 MILLION VIEWS
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wimbo wa taifa gani hilo?Mkuu upo nchi gani? hii ngoma sasa hiv ni wimbo wa taifa au ninyi ndo mliolishwa unga wa ndele
ni huku kwa watanganyika usipo isikia kwenye redio station basi kwenye daladala utaikuta na ukiwa na roho mbaya ukashuka daladala basi kapende bodaboda ambayo nako utaikuta......... utaipenda tuwimbo wa taifa gani hilo?
basi sawa!ni huku kwa watanganyika usipo isikia kwenye redio station basi kwenye daladala utaikuta na ukiwa na roho mbaya ukashuka daladala basi kapende bodaboda ambayo nako utaikuta......... utaipenda tu
Hivi Anaingiza Pesa Yoyote Kwenye Hizo Views Au Ni Misifa Tu ?Nilisoma mahali kua ilichukua zaidi ya miaka 4 kuandaa hii nyimbo...nikimanisha kuanza kutunga mashairi na midundo na vionjo.
2 Milion Views..still trending..
View attachment 448988
Mkuu kuna namna ya kupata mkwanja kupitia views za you tube usione akina diamond hua wana update fans wake na kutoa link ya video zake hadi instagram..Hivi Anaingiza Pesa Yoyote Kwenye Hizo Views Au Ni Misifa Tu ?
Hayo Yote Unayoyasema Nayafahamu Sana Mkuu Lakini Kina Diamond, AY, Kiba, Wasanii Wa Wasafi Wanashirikiana Na Kampuni Fulani Ya Kenya Kupata Pesa Kupitia You Tube, Lakini Wasanii Wengine Kama Hawa Kina Darasa , Sijui Nuh Mziwanda Ni Kufuata Mkumbo Tu Wa Kusherehekea Views Lakini Sidhani Kama Walishamonetize YouTube Channel ZaoMkuu kuna namna ya kupata mkwanja kupitia views za you tube usione akina diamond hua wana update fans wake na kutoa link ya video zake hadi instagram..
kifupi ukiwa na views milion 1 una dola zako 1000$ kibindoni ...
sasa fikiria watu kama adele nyimbo yake ya hello ina views zaid ya bilion piga hesabu hapo ana shiling ngapi
lakini hio process inaitwa monetization na kuna process tu ndogo ndogo na visheria tudogo dogo lazima uzifate kutoka you tube ili kwenda nao sawa..
sasa hii elimu naamin wasanii weng watakua wanaijua sasa namin pia DARASA atakua anaifahamu..
Basi watakosa vitu vingi mkuuHayo Yote Unayoyasema Nayafahamu Sana Mkuu Lakini Kina Diamond, AY, Kiba, Wasanii Wa Wasafi Wanashirikiana Na Kampuni Fulani Ya Kenya Kupata Pesa Kupitia You Tube, Lakini Wasanii Wengine Kama Hawa Kina Darasa , Sijui Nuh Mziwanda Ni Kufuata Mkumbo Tu Wa Kusherehekea Views Lakini Sidhani Kama Walishamonetize YouTube Channel Zao
Marekani, Nigeria Na India Ni Moja Ya Nchi Zenye Internet Entrepreneur Wengi Sana - Wanapata Sana Pesa Kupitia YouTube Na WebsitesBasi watakosa vitu vingi mkuu
labda washtuke ..hapa ndo unaona umuhim wa kua na managament inayoyajua haya mambo kuhakikisha kwamba kila kaz yako ya mziki unaifahidi matunda yake.