Darasa la saba hawezi kutunga Sheria lakini anaweza kutunga Katiba

Kwanini usishangae kwamba STD VII haruhusiwi kuwa RAIS, lakini huyo huyo STD VII anaweza kuwa Mbunge ambaye anaweza KUMFUTA KAZI RAIS?!
 
alietoa mada ni std 7 ndo maana anataka kuaminisha umma kua std 7 can do something shame upon u ,std 7 anaweza kuongea na c kureason kwann kasema kitu fulani ndio maana naamini hata ww huwezi kutoa ufafanuzi wa hicho ulichokiandika hapo juu.
UKAWA kama waliona STD VII sio kitu kwa kupinga hao STD VII wasiwe Wabunge kwa nini wanakumbatia maoni yaliyomo kwenye Rasimu ya Warioba ambayo ina maoni ya hao hao STD VII?
 
Kwanini usishangae kwamba STD VII haruhusiwi kuwa RAIS, lakini huyo huyo STD VII anaweza kuwa Mbunge ambaye anaweza KUMFUTA KAZI RAIS?!
Mkuu,
Kwani ni lazima mimi nishangae peke yangu? Anyway, hii mada haihusiani na Urais, ukitaka mada ya Urais anzisha mada yako!
 
Mkuu,
Kwani ni lazima mimi nishangae peke yangu? Anyway, hii mada haihusiani na Urais, ukitaka mada ya Urais anzisha mada yako!

You have a pigeon brain if you can't connect that statement with a new proposed constitution.
 
Nyie msio UKAWA hizo sheria mlizozitunga miaka zaidi ya 50 ya uhuru zimeleta maendeleo gani? Tusaidie kwanza hili.
Tumekuwa na umoja na mshikamano ambao wana-UKAWA wamekuwa wakitafuta kila njia kuuvuruga!
 
wakuu,

tumeambiwa kwamba std vii elimu yake ni ndogo sana na hawezi kutunga sheria bungeni, lakini tumeshuhudia maoni ya hao hao std vii yaliyobatizwa jina la maoni ya "wananchi walio wengi" yalivyokuwa dili ndani ya rasimu ya warioba yaliyosababisha watu wazima wenye elimu zao kususia hata mjadala wa bunge maalum la katiba ili kuunga mkono mawazo yao hata kama sio wengi (yaani watu 19,000)!

Inakuwaje hao wananchi ambao elimu zao hazijai hata mkononi waweze kutunga katiba lakini wasiweze kutunga sheria tu za kawaida bungeni?

Au hawa wana-ukawa wanachanganya "kuandika (drafting) sheria" na "kutunga sheria" kiasi kwamba wanafikiri kwamba std vii wataachiwa ku-draft sheria akiwa bungeni?

Tujadili zaidi!!

hebu fafanua mkuu kwa ufahamu wako maoni ni katiba ? Je rasimu ya tume ilikuwa na maoni ya std vii tu? Jaribu kujenga hoja zenye mashiko
 
hebu fafanua mkuu kwa ufahamu wako maoni ni katiba ? Je rasimu ya tume ilikuwa na maoni ya std vii tu? Jaribu kujenga hoja zenye mashiko

Rasimu ya Tume maoni yake yalipatikana kutoka kwa "wananchi walio wengi" ambao ni STD VII!
 
Wewe kwani umefika huko darasa la 7?
aaahhh!! teh teh teh !!!! hata mimi ni mgeni sijawahi fika huko darasa la saba, kiongozi. Nauli ni shilingi ngapi kufika huko, ila nasikia watu wa huko, wengine hawajui KKK, hivi ni habari ya kweli au ya kufikirika?
 
You have a pigeon brain if you can't connect that statement with a new proposed constitution.

Unapoteza muda wako bure.Unayemjibu hapo zamani za kale aliitaka Z'bar yake, alipoingia Dodoma tu akaahidiwa Uwaziri wa huku bara na akikosa basi Ubalozi ndiyo maana kila ukitudi ni kuitetea Hiyo rasimh sujui ya Mzee wa vijisenti.
 
Back
Top Bottom