UKAWA kama waliona STD VII sio kitu kwa kupinga hao STD VII wasiwe Wabunge kwa nini wanakumbatia maoni yaliyomo kwenye Rasimu ya Warioba ambayo ina maoni ya hao hao STD VII?alietoa mada ni std 7 ndo maana anataka kuaminisha umma kua std 7 can do something shame upon u ,std 7 anaweza kuongea na c kureason kwann kasema kitu fulani ndio maana naamini hata ww huwezi kutoa ufafanuzi wa hicho ulichokiandika hapo juu.
Mkuu,Kwanini usishangae kwamba STD VII haruhusiwi kuwa RAIS, lakini huyo huyo STD VII anaweza kuwa Mbunge ambaye anaweza KUMFUTA KAZI RAIS?!
Nyie msio UKAWA hizo sheria mlizozitunga miaka zaidi ya 50 ya uhuru zimeleta maendeleo gani? Tusaidie kwanza hili.Wana-UKAWA, kaaazi kweli kweli!
Mkuu,
Kwani ni lazima mimi nishangae peke yangu? Anyway, hii mada haihusiani na Urais, ukitaka mada ya Urais anzisha mada yako!
Haya mkuu!
wakuu,
tumeambiwa kwamba std vii elimu yake ni ndogo sana na hawezi kutunga sheria bungeni, lakini tumeshuhudia maoni ya hao hao std vii yaliyobatizwa jina la maoni ya "wananchi walio wengi" yalivyokuwa dili ndani ya rasimu ya warioba yaliyosababisha watu wazima wenye elimu zao kususia hata mjadala wa bunge maalum la katiba ili kuunga mkono mawazo yao hata kama sio wengi (yaani watu 19,000)!
Inakuwaje hao wananchi ambao elimu zao hazijai hata mkononi waweze kutunga katiba lakini wasiweze kutunga sheria tu za kawaida bungeni?
Au hawa wana-ukawa wanachanganya "kuandika (drafting) sheria" na "kutunga sheria" kiasi kwamba wanafikiri kwamba std vii wataachiwa ku-draft sheria akiwa bungeni?
Tujadili zaidi!!
Huyu jamaa anadhani kila anayeongea naye hapa ni drs la saba
aaahhh!! teh teh teh !!!! hata mimi ni mgeni sijawahi fika huko darasa la saba, kiongozi. Nauli ni shilingi ngapi kufika huko, ila nasikia watu wa huko, wengine hawajui KKK, hivi ni habari ya kweli au ya kufikirika?Wewe kwani umefika huko darasa la 7?
Mkuu,
Kosa langu ni lipi hasa?
You have a pigeon brain if you can't connect that statement with a new proposed constitution.
Rasimu ya Tume maoni yake yalipatikana kutoka kwa "wananchi walio wengi" ambao ni STD VII!
Umoja hata Boko Haram wanao baina yao, so is MAGAMBA within your own twisted minds..Tumekuwa na umoja na mshikamano ambao wana-UKAWA wamekuwa wakitafuta kila njia kuuvuruga!
Mkuu hili jamaa tokea limetimuliwa kazi ya umods kawa kama mwehu achana nayeHuyu jamaa ni wa kupuuzwa kwani waliondika rasimu ni std vii