Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 6,686
- 13,626
Wanafunzi wa darasa la saba wote tz nzima hawakufunga almost mwezi wa kumi na mbili wote walikuwa wakisoma wakijiandaa kwa mitihani ya taifa kwa kuwa mwaka huu watawahi kufanya kwaajili ya uchaguzi mkuu, sidhani kama watakosa cha kujibu.
Wanagunzi wamefungua shule tarehe 6 january, kesho ni tarehe 16
Hivi ndani ya huo muda, walimu na wanafunzi wanaweza kuwa wamesoma kiasi cha kucover mada zote za darasa la saba?