hata mimi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 1,356
- 1,437
Mimi kitu kinanichanganya niJamii forum mods naombeni muurudishe huu uzi wangu kwenye jukwa a la Tech na sio huku,
1.multimedie message. yani txt ikiwa ndefu kidogo tu inaconvert to multimedia message lakini haitoki nikiituma. Hata txt ya kutumiwa nikitaka kuiforward haitaki
(Huwa inaniandikia kuwa ujumbe haukutumwa 7bu huduma haipatkan, utatumwa huduma ikiwepo)
2.majina (contacts) nikitaka kusevu (new contact) au kuhamishia (existed contact) kwenye simu (device) nafanyaje?
Samsung J1 ace