Unbelievable
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 262
- 115
Za leo? Naomba info kuhusu soko la mbaazi, ahsante.
Nicheki kwa 0655509828
Za leo? Naomba info kuhusu soko la mbaazi, ahsante.
Nipo Arusha sema kilimo nataka nikifanyie huko HAI-KILMANJARO ENEO AMBALO HUWA NI KAME MKUUMtaalam wa kilimo aje atujuze zaidi kuhusu ulimaji, maeneo/ aina ya aridhi inayofaa pia ni msimu gani. Maafsa ugani upo wapi?
Nicheck kwa 0752886798Kuna jamaa anataka kunde tani 50