samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Nimependa sana somo ila kwa sisi beginners ni changamoto hasaa tunahitaji michoro ya kutosha, asante sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unasuka booster kwa sh ngapi!? Yaani ya spika bass 1 ya chini wt 2000 na speaker mid 2 aina ya fidek
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningekuwa nimesoma maphysics na hayo maelectronic ningesumbua sana Akili kuhusu hii elimu uliyotoa. Hongera asee
Sent using Jamii Forums mobile app
Waiting....Stay tune
mimi nina spika zangu, radio imekufa hivyo nataka kuzitumia hizi spika, tunafanyaje 0715 378899Nipo singida mkuu garama ni kulingana na wewe unataka ya ukubwa gani mkuu afu kuhusu ubora sijawahi pata malalamiko kwa amp nazosuka mm kwahiyo usijali kua na amani mkuu we unahitaji ya ukubwa gan na unaenda kutumia kwenye spika za aina gani mkuu
mimi nina spika zangu, radio imekufa hivyo nataka kuzitumia hizi spika, tunafanyaje 0715 378899View attachment 1858502View attachment 1858503
radio limenitia machungu nimelitoa nikabaki na spika tuMkuu naweza kuziona speaker zake?
Mambo ni birudani sana
Hio tunatoa circuit zoote za ndani inabaki transformer tu alafu tunaweka mashine yetu
Na mwisho itakua na mp3 player fm na Bluetooth ukitaka
Na mwisho kabisa inaweza kuwekwa video player
Shukrani mkuu.Inategemeana na specification zilizotumika kutengeneza amp
Zingine inaweza nyingine haiwezekani
Shukrani mkuu.
Hapa nina maswali ya kutosha, naomba usinichoke.
SWALI
Kuna bluetooth speaker zinaitwa JBL, ni ndogo ila zinapiga sana ukilinganisha na bluetooth speaker nyingine (na hata gharama yake imechangamka)
so kinachofanya ipige kiasi hicho ni amp tu au kuna tech nyingine??