Darasa huru, Jifunze hapa kusuka amplifiers

kelphin

JF-Expert Member
Dec 24, 2019
9,010
14,292
Hellow mambo vipi,

Kama ilivyo ada ya urafiki kwa Watanzania. Kwa ujuzi wangu kiasi nilionao na dhati kabisa ya moyo wangu ,nimeamua kuanzisha uzi hu
Kwako kijana mwenzangu unaependa kujua kusuka na kurekebisha matatizo madogo na makubwa ya audio amplifier kiujumla ni eneo lako.

Karibu tujumuike kama familia. Kama wewe ni fundi na unatamani kujua basi karibu. Kama unafahamu ni sehemu yako pia kuwapa elimu na ku share ideas zetu.

Karibuni

Kwa kuanza tu,

Amplifier ni device inayotumia umeme kukuza nguvu ya sauti. Mziki unaozalishwa na vifaa vingi vya sauti(signals) hua ni mdogo sana
Mfano wa vifaa hivi ni gitaa,microphone (maiki) na vinginevyo. Kwa hivyo inasukwa amplifier ila kuikuza nguvu ya sauti ila ili isikike kwa nguvu kila mtu asikie kikamilifu

Kutaka kujua faida za amplifier hebu pata picha upo kwenye tamasha kama fiesta au wasafi festivals. Unaona vile sounds inakita kwenye speaker. Lakini amini kwamba ile sauti kama isingepita kwenye amplifier basi ungeisikia kama unavyosikiliza music kwenye earphone. Hivyo basi kwa namna moja huenda umenielewa concept ya amplifier. Hivyo karibuni tukwamue ujuzi wetu kwenye level nyingine

Vifaa ambavyo utahitaj kua navyo ni
Soldering gun
Soldering wire(mtofu)
Multmeter
Na circuit board ya kusukia.

RIP magufuli
 
Hellow mambo vipi,

Kama ilivyo ada ya urafiki kwa Watanzania. Kwa ujuzi wangu kiasi nilionao na dhati kabisa ya moyo wangu ,nimeamua kuanzisha uzi hu
Kwako kijana mwenzangu unaependa kujua kusuka na kurekebisha matatizo madogo na makubwa ya audio amplifier kiujumla ni eneo lako.

Karibu tujumuike kama familia. Kama wewe ni fundi na unatamani kujua basi karibu. Kama unafahamu ni sehemu yako pia kuwapa elimu na ku share ideas zetu.

Karibuni

Kwa kuanza tu,

Amplifier ni device inayotumia umeme kukuza nguvu ya sauti. Mziki unaozalishwa na vifaa vingi vya sauti(signals) hua ni mdogo sana
Mfano wa vifaa hivi ni gitaa,microphone (maiki) na vinginevyo. Kwa hivyo inasukwa amplifier ila kuikuza nguvu ya sauti ila ili isikike kwa nguvu kila mtu asikie kikamilifu

Kutaka kujua faida za amplifier hebu pata picha upo kwenye tamasha kama fiesta au wasafi festivals. Unaona vile sounds inakita kwenye speaker. Lakini amini kwamba ile sauti kama isingepita kwenye amplifier basi ungeisikia kama unavyosikiliza music kwenye earphone. Hivyo basi kwa namna moja huenda umenielewa concept ya amplifier. Hivyo karibuni tukwamue ujuzi wetu kwenye level nyingine

Vifaa ambavyo utahitaj kua navyo ni
Soldering gun
Soldering wire(mtofu)
Multmeter
Na circuit board ya kusukia.

RIP magufuli
Tuendelee na darasa.
Vifaa nimendaa tayari.
 
Hellow mambo vipi,

Kama ilivyo ada ya urafiki kwa Watanzania. Kwa ujuzi wangu kiasi nilionao na dhati kabisa ya moyo wangu ,nimeamua kuanzisha uzi hu
Kwako kijana mwenzangu unaependa kujua kusuka na kurekebisha matatizo madogo na makubwa ya audio amplifier kiujumla ni eneo lako.

Karibu tujumuike kama familia. Kama wewe ni fundi na unatamani kujua basi karibu. Kama unafahamu ni sehemu yako pia kuwapa elimu na ku share ideas zetu.

Karibuni

Kwa kuanza tu,

Amplifier ni device inayotumia umeme kukuza nguvu ya sauti. Mziki unaozalishwa na vifaa vingi vya sauti(signals) hua ni mdogo sana
Mfano wa vifaa hivi ni gitaa,microphone (maiki) na vinginevyo. Kwa hivyo inasukwa amplifier ila kuikuza nguvu ya sauti ila ili isikike kwa nguvu kila mtu asikie kikamilifu

Kutaka kujua faida za amplifier hebu pata picha upo kwenye tamasha kama fiesta au wasafi festivals. Unaona vile sounds inakita kwenye speaker. Lakini amini kwamba ile sauti kama isingepita kwenye amplifier basi ungeisikia kama unavyosikiliza music kwenye earphone. Hivyo basi kwa namna moja huenda umenielewa concept ya amplifier. Hivyo karibuni tukwamue ujuzi wetu kwenye level nyingine

Vifaa ambavyo utahitaj kua navyo ni
Soldering gun
Soldering wire(mtofu)
Multmeter
Na circuit board ya kusukia.

RIP magufuli
Mkuu tunakusubiri utupe darasa nyuzi za adabu kama hizi hazina promo kabisaa
 
@Loftins sawa
sasa kwenye amplify unaposuka
Lazima uingize umeme
Na umeme hu kitaalamu tunaita power supply
Kwahyo ukisikia power supply ni power inayo ingizwa kwenye amplify ili ianze kufanya kazi
Na power supply hizi zipo za aina mbili switch mode power supply na linear powe supply
Ntaanza kuielezea switch mode power supply (smps)
Hi ni aina ya power supply ambayo ni nzuri kuliko hiyo nyingine
Aina hi ya power supply haina current gaps kwahyo umeme unaokua unaingia kwenye amplify unakua umetengenezwa vyema na hua dc pure na smooth kwahyo vifaa vinavyotumia smps hua havina longolongo kwenye utendaji kazi
Na aina hi ya power supply ni mfano wa zile zinazotumika kwenye dvd player ,home theater na vifaa vinginevyo.
 
Kwahyo basii kwenye smps umeme 220v ac zikisha ingia unafikia kwenye diode
Diode kazi yake ni kugeuza umeme kutoka ac kwenda dc kwa direction moja
Kwahyo basi umeme unaotoka kwenye diode hizi hua ni dc ila hauwi dc pure
Yaan namaanisha hauwi umeme mnyoofu kabisa kwasababu
Umeme wa ic ni umeme unaotembea kwa kupanda na kushuka ila dc ni umeme unaotembea kwa mnyoofu mmja bila waves(mawimb)
Kwahyo lazima ziwekwe capacitors ili ku balance na kuuwa hizo waves za current (ntaielezea baadae jindi inavyouwa )
Kwahyo bas umeme jliotoka kwenye diode hiyo ukishapita kwenye capacitors hapo umeme unakua umekwisha tulizwa na hua dc pure kabisa
Lakini kwann inaitwa smps ni kwasababu umeme ukitoka hapo huingizwa kwenye transistors maaluumu kwajili ya kufanya oscillating na hapa ndipo jina la power supply hi linapokuja
Transistor hizi huitwa power switch transistor
Hizi huchukua umeme huo na kuswitch kwa sekunde kuingia kwenye transformers ili transfom hiyo itoe volts chache ila kwa matumizi mengi




..vuta pumzi kidogo kisha nikuelezee vyema kuhusu hilo
Mfano kwenye amplifier kuna kua na raman zako kadhaa umezisuka Kwahyo transformer hiyo ndio itagawa umeme kwa viwango tofauti tofauti unaweza kuta transformer inatoa volt 12v 25v na 6v
Lakini yenyewe iliingiza 230v pekee
 
IMG_2291.jpg

Mfano wa smps
Umeme unaingilia kwenye fuse kisha kwenye main rectifier (diode) kisha power transistor ndi switchng sasa
Kisha power transistor hiyo ita switch umeme kuingia kwenye pulse transform pale kisha pale ndio utatoka umeme wa viwango tofauti tofauti kkitegemewa na transformer uliyoiweka ina toa njia ngapi
Mfano mzuri ukiangalia powe ya computer desktop utaona ina cable nyingiii zakuingia kwenye raman ya computer
Ila yenyewe imeingiza 220v pekee
 
Napenda sana kusikia kuhusu amplifier haswa katika matumizi ya nyumbani kwa kuunganisha na speakers. Kwa nini Bongo wengi hatufanyi hivyo?. Na je kuna mtaalam anaweza kunifungia mziki huo hapa nchini ili nipate matokeo bora? Nimechoka vi-home theaters vya Kariakoo
 
Napenda sana kusikia kuhusu amplifier haswa katika matumizi ya nyumbani kwa kuunganisha na speakers. Kwa nini Bongo wengi hatufanyi hivyo?. Na je kuna mtaalam anaweza kunifungia mziki huo hapa nchini ili nipate matokeo bora? Nimechoka vi-home theaters vya Kariakoo

Ndio inawezekana
Ulitaman muziki wa aina ipi mkuu
 
Back
Top Bottom