screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,788
- 15,682
Nipo hapa nasikiliza ngoma za zamani, hizi ngoma mbili zinazomilikiwa na Jos Mtambo(Darasa Huru) na Jay Mo(Kama unataka dem) zimenakshiwa vyema na chorus za hawa magwiji wawili wa chorus, kwangu mimi hizi ni miongoni mwa chorus kali sana kutokea tangu bongofleva imeanza, je ni nani alikamua zaidi ukilinganisha hizi chorus za nyimbo mbili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app