Darasa Huru (DULLY SYKES) Vs Kama Unataka Demu (Q Chief) nani aliumiza zaidi kwenye chorus?

Halafu dogo hajawahi kutoa nyimbo mbaya, kuna ile collabo alipiga na qchief ya NIPO huwa naikibali sana ile ngoma


Nipo nilikuwepo na nitakuwepo aha aha aha aha, nipo nilikuwepo na nitakuwepooooooooo, amani kwa masela tuliowaacha kitaani eee(peace and love) , amani kwa masela waliotutoka duniani mama weee(rest in peace), kwa mabaya nisengenyeni, kwa mazuri nisifieni eee, hiki kipaji kanipa mungu, majungu yanatoka wapiiii, machizi wangu halla back halla back halla back, masista duu piga kelele, oyee mr blue


Halafu kuna kazi alifanya blu na braza men mmoja sasa hivi yupo ujerumani mwanzo alijiita snoop lee, baadae akajiita snaa lee, sasa hivi anajiita snaa, nyimbo inaitwa mic nadaka, nahisi mpaka sasa hii nyimbo ndio nyimbo yenye chorus ndefu bongo

Ngoja, mic yenyewe moja, ma mc kama laki moja, kila mmoja hataki kungoja, kila mmoja anataka namba moja, ngoja, mic yenyewe moja, ma mc kama laki moja, kila mmoja hataki kungoja, kila mmoja anataka namba moja (microphone nadaka snoop lee, na heshima nazitaka snoop lee, kwa mabraza na madada snoop lee fanya fasta blue shika mic daka,)*blu*(microphone nadaka{B. L. U} na heshma nazitaka {B. L. U} kwa mabraza na madada mikono juu fanya fasta snoop lee shika mic daka

Halafu bado nyimbo zake aisee Sema yupo na Jide mR Blue ni msanii ambae anapaswa kupewa tuzo ya pekee, nyimbo kama unanimaliza, tabasamu and na chorus za micharazo pia.
 
Ah wapi,
Daz hana ile sauti,
Nature yule,

Nimpende yupi kati yaoo,
Na nimuache yupi kati yaoo,
Maana mi nawaona wote kua sawa,
Kurwa na Dotto wananifanya napagawaa,
Acha ubishi mzee, tafuta ngoma ya Daz Baba inayoitwa WIFE kisha ndo utaamini kama jamaa nae alikuwa yumo
 
Acha ubishi mzee, tafuta ngoma ya Daz Baba inayoitwa WIFE kisha ndo utaamini kama jamaa nae alikuwa yumo
Unakurupuka vibaya mno, yaani unadandia gari kwa mbele.

Mimi nilisema ni Nature sio DAZ,
Mwengine akasema ni DAZ sio Nature,
Soggy kuulizwa akasema Wote Wawili walikuwepo, so ni mchanganyiko wa sauti mbili pale.

Mjadala ukafungiwa hapo, hiki ulichoandika wewe hakina mashiko kwa sasa.
 
Nipo hapa nasikiliza ngoma za zamani, hizi ngoma mbili zinazomilikiwa na Jos Mtambo(Darasa Huru) na Jay Mo(Kama unataka dem) zimenakshiwa vyema na chorus za hawa magwiji wawili wa chorus, kwangu mimi hizi ni miongoni mwa chorus kali sana kutokea tangu bongofleva imeanza, je ni nani alikamua zaidi ukilinganisha hizi chorus za nyimbo mbili?

Sent using Jamii Forums mobile app
Zote sawa hakuna mbabe hapo
 
Unakurupuka vibaya mno, yaani unadandia gari kwa mbele.

Mimi nilisema ni Nature sio DAZ,
Mwengine akasema ni DAZ sio Nature,
Soggy kuulizwa akasema Wote Wawili walikuwepo, so ni mchanganyiko wa sauti mbili pale.

Mjadala ukafungiwa hapo, hiki ulichoandika wewe hakina mashiko kwa sasa.
Poa mkuu sikuwa nimemaliza page zote

Nakumbushia na huyu Ray C naye muangalieni kwenye chorus

Kuna Noorah naye ila huyu ameua zaidi kwenye nyimbo anazoshirikishwa haswa verse ya mwisho anayotakiwa kuchana kama Chochote utapata ya K lyne

Mr Blue nae kwenye Nipe/nishike mkono aliyoshirikishwa na K lyne nae alifanya vizuri

Ila huyu dada nae ( K lyne ) alikua yupo vizuri bila kusahau ngoma yake aliyomshirikisha bushoke
 
Poa mkuu sikuwa nimemaliza page zote

Nakumbushia na huyu Ray C naye muangalieni kwenye chorus

Kuna Noorah naye ila huyu ameua zaidi kwenye nyimbo anazoshirikishwa haswa verse ya mwisho anayotakiwa kuchana kama Chochote utapata ya K lyne

Mr Blue nae kwenye Nipe/nishike mkono aliyoshirikishwa na K lyne nae alifanya vizuri

Ila huyu dada nae ( K lyne ) alikua yupo vizuri bila kusahau ngoma yake aliyomshirikisha bushoke
Ni kweli Mkuu wangu,
Wako vizuri,
K Lynn yuko vizuri na ana sauti tamu. Sema ndo hana nyimbo nyingi, labda alikua akiimbia fani au hobby tu, sio kuimba ili ku make money.
 
Naiskiliza Darasa huru hapa natumai jibu nimekupatia
Nipo hapa nasikiliza ngoma za zamani, hizi ngoma mbili zinazomilikiwa na Jos Mtambo(Darasa Huru) na Jay Mo(Kama unataka dem) zimenakshiwa vyema na chorus za hawa magwiji wawili wa chorus, kwangu mimi hizi ni miongoni mwa chorus kali sana kutokea tangu bongofleva imeanza, je ni nani alikamua zaidi ukilinganisha hizi chorus za nyimbo mbili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom