Darasa asema atamsadia dereva aliyekamatwa kwa kucheza nyimbo yake na kutishia usalama

Darasa umetoa bonge la ngoma ni Nouma Nouma Nouma Nouma sana Bobuuu darasa...mzuka kawaida Tu na dereva atatoka
 
Safi darasa.ndivyo inavyotakiwa.MTU mpaka kaacha usukani akacheza ngoma yako sio kazi ndogoo.amekukubali mpaka mwisho.
 
Darasa tunaupenda "muziki"wako nawe tunakupenda pia mambo mengine iachie sheria ichukue mkondo wake...
kwa mtindo huo utawatoa wangapi hadi unastaafu "muziki"?
 


Msanii huyo amesema ni kweli dereva huyo alifanya makosa ila anataka amtoe
amedai kuna watu wake wanafuatia atoke na yupo kituo cha polisi Manyoni

Naona kaona mchango wangu kwenye bandiko la huyo dereva! Nilisema ningekuwa Mimi ndo Darasa, ningemlipia fine huyo dereva!
 
Back
Top Bottom