DARAJA LASOMBWA NA MAJI MANYARA!mamia ya abiria wakwama njiani

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,034
kwa mujibu wa taarifa ya habari ya TBC ninayoiangalia saa hizi:
mamia na ma-elfu ya abiria waendao mikoa ya manyara na singida wamekwama njiani baada ya daraja mojawapo linalotumika na mabasi yaendayo mikoa tajwa hapo juu kusombwa na maji ya mvua.

taarifa zaidi zinasema kwamba daraja hilo limejengwa upya takribani mwezi mmoja uliopita na mkandarasi WA KICHINA!habari zaidi ni kwamba hadi sasa hakuna kinachoendelea,zaidi ya TANROADS kuahidi kuleta kijiko ili kisaidie mchakato wa matengenezo

CHANGAMOTO NILIYOJIFUNZA:haya ni matokeo ya rushwa zilizokithiri kwenye sekta ya ujenzi.ndugu yangu GT anaweza kuwapa connections za rushwa na quality mbaya ya ujenzi wa miundo mbinu na majengo
 
ni CHANGAMOTO kubwa kwa-kweli!wewe unadhani tufanyeje mkuu wangu.maanake hali ni mbaya....
Mkuu panapofaa kuchagua mpinzani kuingia bungeni achaguliwe, panapofaa kuchagua mbunge aliyetofauti na mafisadi mfano palipo wawili wa CCM na mmoja wapo anatuhumia kwa ufisadi na huyu mwingine akawaelezea wananchi wazi kuwa tusimchague mwenzake kwa sababu ana tuhuma hizi na hizi za kifisadi basi huyo tumchague kwani atakuwa kambi tofauti na mafisadi, mfano jimboni kwa karamagi Mramba au Lowasa akipatikana mpinzani wao na akaeleza wazi ufisadi wao tumchague kwani atakuwa tofauti na wenzake.
 
Mkuu panapofaa kuchagua mpinzani kuingia bungeni achaguliwe, panapofaa kuchagua mbunge aliyetofauti na mafisadi mfano palipo wawili wa CCM na mmoja wapo anatuhumia kwa ufisadi na huyu mwingine akawaelezea wananchi wazi kuwa tusimchague mwenzake kwa sababu ana tuhuma hizi na hizi za kifisadi basi huyo tumchague kwani atakuwa kambi tofauti na mafisadi, mfano jimboni kwa karamagi Mramba au Lowasa akipatikana mpinzani wao na akaeleza wazi ufisadi wao tumchague kwani atakuwa tofauti na wenzake.
sawa mkuu!
una maanisha tusichague CHAMA!tumchague mtu kwa kuangalia ''maadili'' na uwezo wake wa kufanya kazi,au vipi?
 
kwa mujibu wa taarifa ya habari ya tbc ninayoiangalia saa hizi:
Mamia na ma-elfu ya abiria waendao mikoa ya manyara na singida wamekwama njiani baada ya daraja mojawapo linalotumika na mabasi yaendayo mikoa tajwa hapo juu kusombwa na maji ya mvua.

Taarifa zaidi zinasema kwamba daraja hilo limejengwa upya takribani mwezi mmoja uliopita na mkandarasi wa kichina!habari zaidi ni kwamba hadi sasa hakuna kinachoendelea,zaidi ya tanroads kuahidi kuleta kijiko ili kisaidie mchakato wa matengenezo

changamoto niliyojifunza:haya ni matokeo ya rushwa zilizokithiri kwenye sekta ya ujenzi.ndugu yangu gt anaweza kuwapa connections za rushwa na quality mbaya ya ujenzi wa miundo mbinu na majengo

(1) tra (2)tanroads (3)...
 
sawa mkuu!
una maanisha tusichague CHAMA!tumchague mtu kwa kuangalia ''maadili'' na uwezo wake wa kufanya kazi,au vipi?
Hapo mkuu umeongea, kama upinzani mbona tuko na kina Cheyo blaa blaa tu hakuna cha moto akionyeshacho anazidiwa hata na wana CCM wenyewe. Maadili muhimu.
 
Back
Top Bottom