Bahati furaha
JF-Expert Member
- Jul 11, 2012
- 3,030
- 1,384
Upo sahihi sana mkuu.Uchumi wa Hong Kong na mainland China waweza kuufananisha na huu uchumi wa Tanganyika na Unguja??
Hapo kuna politico & socio economic gains za $trillions even gazillions! Siyo huu uchumi wa madafu
Nilimfahamisha tu yule alieuliza meli zitzpitaje kana kwamba hajui unaweza kuweka daraja la kuinua na kulaza(kufunga na kufungua) wakati meli inataka kupita.