Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Daraja la umoja linalounganisha Tanzania na Msumbiji ni miongoni mwa miradi ya serikali ya ccm ambayo imetumia fedha nyingi bila kuwa na manufaa ya aina yoyote. Daraja lilifunguliwa kwa mbwembwe lakini cha ajabu halitumiki na watu wanaendelea kutumia mitumbwi.
Miradi ya aina hii ni ile inayotekelezwa kwa pupa bila kuwepo upembuzi yakinifu, na kwa staili hii nchi itaendelea kuwa masikini ingawa imejaliwa rasilimali nyingi.
Miradi ya aina hii ni ile inayotekelezwa kwa pupa bila kuwepo upembuzi yakinifu, na kwa staili hii nchi itaendelea kuwa masikini ingawa imejaliwa rasilimali nyingi.