Daraja la Kigamboni linapewa sifa zisizo stahiki

Dah... Halaf eti huyu nae atajiita mwanaume, nyuzi nyingine hizi wanazianzisha sijui wakiwa katika pozi gani

Hilo ni daraja letu sisi, hatusemi ni daraja bora kupita yote dunian, ila kwakuwa hatukuwah kuwa nalo acha tuwe proud, sijaona mahala mtz kasimama kusema hili ni daraja bora zaid au la maajabu hapana

Tunafurahia kuwa nalo linatusaidia., sasa wewe povu la nini!!?
huyu jamaa ni mmbea,muongo na mchonganishi
 
Daraja la kigamboni ndiyo darajaaa namba moja ktk bara la afrika.......hakuna daraja Kama hili....

Ovaa
 
Daraja la kigamboni ndiyo darajaaa namba moja ktk bara la afrika.......hakuna daraja Kama hili....

Ovaa
mkuu una maana gani unaposema kigamboni ndilo daraja NAMBA MOJA katika africa? una maana ya urefu au upya?
 
Wewe ongea hivyo vingereza vyako lakini unajua hizo pyramid ziligharimu bei gani kuzijenga na matumizi ake yalikuwa ni kwa ajili ya nini!?
Ukipata jibu hapo then ujiulize jinsi wataalamu, 'wasomi', 'viongozi', bodi nk nk zilivyokaa na kufanya upembuzi yakinifu na kuridhia mradi wa mwendo kasi ujengwe. Alafu uangalie hizo sijui billion 500 zilizotumika kufanya hiyo kazi kwa binadamu wengine huwa zinafanya kazi gani. Hiyo ndio hoja ya msingi na sio zile hoja za kununua andazi kwa ajili ya kitafunwa ofisi ya umma kwa @ sh. 1,800/- na ukiuliza unaambiwa "hizi ndio taratibu za manunuzi ya umma na kama huzielewi hebu nyamaza".
Hoja sio kiingereza, mie sujakukataza kujifunza kingereza wala sio mimi akuyekupeleka kayumba skuli; ila linganisha jibu lako hapa na post yako ya awali uone disconnect! Ndio utaona kwamba uliandika jambo usilolijua dogo.
 
Hizi akili za watu wengine sijui wanafikiria kutoka wapi...sasa wewe ulitaka warefushe au watanue lile eneo ilimradi liwe kubwa?

Unaposhindwa kusifia chako basi tegemea kuwa na akili za kushikiwa za kusifia vya wenzako tu
 
Hizi akili za watu wengine sijui wanafikiria kutoka wapi...sasa wewe ulitaka warefushe au watanue lile eneo ilimradi liwe kubwa?

Unaposhindwa kusifia chako basi tegemea kuwa na akili za kushikiwa za kusifia vya wenzako tu
mkuu, bado hujaelewa mada....mimi sipingi ufupi wa daraja wala ubora wake...ninachopinga ni MIKELELE tunayopigiwa kila siku na wanasiasa uchwara kuhusu daraja hili wakati limejengwa kwa kutumbua fedha za wananchama wa NSSF kifisadi. hujasikia mafisadi wa NSSF waliotumbua fedha hizo wamesimamishwa kazi wakati fisadi mkuu ameteuliwa kuwa balozi wa tanzania nchini tanzania? kwanza wewe unakaa nchi gani hadi ushindwe kuyafahamu haya makandokando mkuu?
 
Wahenga walinena kwamba MASIKINI AKIPATA, MAKALIO HUIMBA MBWATA. Tangu Rais Magufuli azindue daraja la Kigamboni lililojengwa chini ya usimamizi wa Dr Ramadhani Dau, kwa kutumia fedha za wanachama wa NSSF, tumekuwa hatulali kwa makelele.

images


Kidaraja hiki tu ndicho kinatunyima usingiz wakati kuna madaraja marefu mara 100,000 kuliko hiki kidaraja cha mbao chenye urefu wa meta 250? Huu uchafu haungii kwenye
orodha ya madaraja hata kwa dawa.

TAZAMA KITU HICHO KINAVYOCHANA MAWIMBI YA BAHARI…

dangyang.png


The world's longest bridge is the Danyang–Kunshan Grand Bridge in China, part of the Beijing-Shanghai High-Speed Railway. The bridge, which opened in June 2011, spans 102.4 miles (165 kilometres). Another part of that train line, the 70.8-mile (114-km) long Langfang–Qingxian viaduct, is the second longest bridge in the world.

China constructed the Danyang–Kunshan Grand Bridge in just 4 years, employing 10,000 workers, at a cost of about $8.5 million. It crosses low rice paddies, part of the Yangtze River Delta, with just a few miles of the bridge actually crossing the open water of Yangcheng Lake in Suzhou. The bridge averages about 100 feet (31 meters) off the ground.

The world's longest road bridge is the 34-mile (55-km) long Bang Na expressway in Thailand, a six-lane elevated highway that crosses only a bit of water, the Bang Pakong River. Constructing the massive bridge required more than 1,800,000 cubic meters of concrete.
Huu wako hata jina hauna.. maana hata tukikuita mnafiki bado tutakua tumekupa sifa njema..

Inaelekea huwa unajutia hata kwanini ulizaliwa na wazazi wa kibongo and not wakichina...

Vema ukakojoe ukalale kama huna hoja... kuliko kusambaza chuki na uzandiki..

Definitely sadism ni hulka yako..
 
mkuu una maana gani unaposema kigamboni ndilo daraja NAMBA MOJA katika africa? una maana ya urefu au upya?
Kila kitu Mkuu.....inshort ni ka kisasa,we hukumskiaaa yule mkulu aliyozinduaaa sifa kem kem.....
 
Huu wako hata jina hauna.. maana hata tukikuita mnafiki bado tutakua tumekupa sifa njema..

Inaelekea huwa unajutia hata kwanini ulizaliwa na wazazi wa kibongo and not wakichina...

Vema ukakojoe ukalale kama huna hoja... kuliko kusambaza chuki na uzandiki..

Definitely sadism ni hulka yako..
sasa mbona unapiga KELELE? hebu ongea pointi ueleweke. kama hujaelewa nilichoongea kwenye post hapo juu, basi akili zako ni za kushikiwa. inakupasa urudi shule.
 
mkuu, bado hujaelewa mada....mimi sipingi ufupi wa daraja wala ubora wake...ninachopinga ni MIKELELE tunayopigiwa kila siku na wanasiasa uchwara kuhusu daraja hili wakati limejengwa kwa kutumbua fedha za wananchama wa NSSF kifisadi. hujasikia mafisadi wa NSSF waliotumbua fedha hizo wamesimamishwa kazi wakati fisadi mkuu ameteuliwa kuwa balozi wa tanzania nchini tanzania? kwanza wewe unakaa nchi gani hadi ushindwe kuyafahamu haya makandokando mkuu?
Mkuu binafsi sio muumin wa conspiracy theory...tuletee huo ushahidi unaoonyesha ufisadi wa NSSF katika ujenzi wa daraja hilo.

Ila pia hata hoja yako kuu naona unaikwepa maana sijui kama ulilenga kuonyesha uahalali wa fedha zilizotumika kujengea daraja hilo au kupinga kelele...je unajua hizo fedha zilizotumika kujengea hilo la china lina uhalali kiasi gani?
 
umeona eeh? mimi nawashangaa watu wanaoisifia hii nchi ya kizezeta wakati kwanza kidaraja chenyewe kimejengwa kifisadi kwa kutumbua fedha za wanachama wa NSSF.
Sisi tunaofanya kwa wahindi ukifukuzwa kazi unaambiwa mafao yako ya Ppf na Nssf hadi miaka 60 utimize hera yenyewe laki 9 muda huo itakuwa na thamani gani hovyo kabisa hii Sirikali
 
Kila kitu Mkuu.....inshort ni ka kisasa,we hukumskiaaa yule mkulu aliyozinduaaa sifa kem kem.....
OK. kumbe wewe ulivutiwa na sifa za mkuu? mbona hawa waafrica wenzetu wamejenga MADARAJA yao miaka mingi iliyopita lakini hatusikii mikelele yao kama hii tunayopigiwa hapa nchini?
 
sasa mbona unapiga KELELE? hebu ongea pointi ueleweke. kama hujaelewa nilichoongea kwenye post hapo juu, basi akili zako ni za kushikiwa. inakupasa urudi shule.
Tatizo watu washaingiza siasa mkuuu ndomana nakwambiaaa daraja Hilo ni namba moja afrika na ktk duniaaa lini top ten....
Na lile la rungwe piaaa afrika namba tano
 
OK. kumbe wewe ulivutiwa na sifa za mkuu? kumbe nawe ndio walewale. mbona hawa wenzetu wamejenga MADARAJA yao miaka mingi iliyopita lakini hatusikii mikelele yao kama hii tunayopigiwa hapa nchini?
Unawajuaa magamba kwa kusifiaaaaaa Vitu visivyo sifikaaa.....inabidi tuwakubalieee tu
Ila wangetembeaaa wangeonaa madarajaaaaa waliyojengaa wenzetu.....syo Hilo la nssf hela za wanachamaaa alafu wnakujaaa kitupigiaaa kelele
 
Sisi tunaofanya kwa wahindi ukifukuzwa kazi unaambiwa mafao yako ya Ppf na Nssf hadi miaka 60 utimize hera yenyewe laki 9 muda huo itakuwa na thamani gani hovyo kabisa hii Sirikali
mkuu nchi hii inatia hasira sana. fedha zote mifisadi inachimbia tumboni na kuwaacha wastaafu wasubiri hadi wafe ili wajukuu waje wagawane mbao. nyambaf sana hii mijitu.
 
Tatizo watu washaingiza siasa mkuuu ndomana nakwambiaaa daraja Hilo ni namba moja afrika na ktk duniaaa lini top ten....
Na lile la rungwe piaaa afrika namba tano
mkuu ni kwa mujibu wa ORODHA HII au una orodha nyingine?
 
Huo ni ulimbukeni kwa hatua hii Tanzania tunatakiwa tujisifu tens si kwa Tanzania tu ni kwa afrika mashariki na kati
 
Back
Top Bottom