Daraja la Kigamboni linapewa sifa zisizo stahiki

Kazi ya upinzani ni kupinga kila kitu, hongera kwa kutimiza wajibu wako.
mkuu, nini kimepingwa hapa? sipingi ujenzi wa daraja, ijapokuwa limejengwa KIFISADI (hujasikia jana watu wametumbuliwa?)....ninachopinga ni kiwango cha MIKELELE tunayopigiwa hadi mradi unageuzwa kuwa kete ya kisiasa na baadhi ya wanasiasa uchwara. umenielewa?
 
Mdharau chake ni mtumwa, hebu usituambukize maradhi yako hayo ya ulemavu wa akili na kasumba ya kusifia vya watu badala ya cha kwako! Hayo madaraja ya ughaibuni yanamsaidia nini Kayumba anayeishi Kigamboni! Hebu kua kidogo, hapa hatuandiki kitabu cha madaraja makubwa duniani, jifunze kujivunia chako, cha jirani kunakusaidia nini wewe?! Proud to be Tanzanian. Tunajua wajanja wametuchapa sana kwenye ujenzi wa Daraja hilo na jana wametumbuliwa; lakini kama nchi hatujakosa bara na pwani; angalau tumepata daraja la kiwango cha kimataifa la aina yake na wananchi wetu wananufaika kwa namna moja au nyingine, thats what matters most.
 
Yani wewe uliyeitoa hii post ni kwamba wewe sii mzalendo na nchi yako. Ama kweli bado hujajitambua. Sanuka mtu wangu, yani hapo ni kama unasifia nyumba ya jirani na kukashifu himaya yako. Haya basi kama waona china ndio mpango mzima kwako basi hamia huko. Nakusihi kuwa mzalendo na hii nchi.
 
Mdharau chake ni mtumwa, hebu usituambukize maradhi yako hayo ya ulemavu wa akili na kasumba ya kusifia vya watu badala ya cha kwako! Hayo madaraja ya ughaibuni yanamsaidia nini Kayumba anayeishi Kigamboni! Hebu kua kidogo, hapa hatuandiki kitabu cha madaraja makubwa duniani, jifunze kujivunia chako, cha jirani kunakusaidia nini wewe?! Proud to be Tanzanian. Tunajua wajanja wametuchapa sana kwenye ujenzi wa Daraja hilo na jana wametumbuliwa; lakini kama nchi hatujakosa bara na pwani; angalau tumepata daraja la kiwango cha kimataifa la aina yake na wananchi wetu wananufaika kwa namna moja au nyingine, thats what matters most.
Wakati mwingine tujifunze kukubaliana.
Daraja la Kigamboni ni mkombozi wa watu wa Kibada, na maeneo mengine .
Wakulima wa mboga, matunda, mihogo na viazi wanafaidi kuingia mjini kwa urahisi!!
Hapo ni budi tupongeze!!
Kwa vile uchunguzi umwanza kwa wakubwa waliojenga, huwenda ikasaidia kupunguza gharama za tozo ili watu wafaidi!!
 
m
Huyu mtoa uzi ana matatizo ya kimaisha sasa lawama anazipeleka mwenye daraja la Kigamboni, anaonekana ndipo anaposhinda kila siku kupoteza stress za maisha
mkuu, hebu tuliza akili kwanza uelewe mada halafu ndipo uchangie. hujasikia juzi mafisadi waliotafauna hela kwenye mradi uchwara huu wametumbuliwa? mimi sipingi ujenzi bali napinga UFISADI uliofanyika huku dr makufuri amkimteua mkuu wa mafisadi hao kuwa balozi wa tanzania nchini tanzania. umeelewa?
 
Huu utumbo wanausifia tu nchi ina miaka zaidi ya 50 tunajengewa kidaraja na Nssf huu ni zaidi ya utumbo
umeona eeh? mimi nawashangaa watu wanaoisifia hii nchi ya kizezeta wakati kwanza kidaraja chenyewe kimejengwa kifisadi kwa kutumbua fedha za wanachama wa NSSF.
 
Wahenga walinena kwamba MASIKINI AKIPATA, MAKALIO HUIMBA MBWATA. Tangu Rais Magufuli azindue daraja la Kigamboni lililojengwa chini ya usimamizi wa Dr Ramadhani Dau, kwa kutumia fedha za wanachama wa NSSF, tumekuwa hatulali kwa makelele.

images


Kidaraja hiki tu ndicho kinatunyima usingiz wakati kuna madaraja marefu mara 100,000 kuliko hiki kidaraja cha mbao chenye urefu wa meta 250? Huu uchafu haungii kwenye
orodha ya madaraja hata kwa dawa.

TAZAMA KITU HICHO KINAVYOCHANA MAWIMBI YA BAHARI…

dangyang.png


The world's longest bridge is the Danyang–Kunshan Grand Bridge in China, part of the Beijing-Shanghai High-Speed Railway. The bridge, which opened in June 2011, spans 102.4 miles (165 kilometres). Another part of that train line, the 70.8-mile (114-km) long Langfang–Qingxian viaduct, is the second longest bridge in the world.

China constructed the Danyang–Kunshan Grand Bridge in just 4 years, employing 10,000 workers, at a cost of about $8.5 million. It crosses low rice paddies, part of the Yangtze River Delta, with just a few miles of the bridge actually crossing the open water of Yangcheng Lake in Suzhou. The bridge averages about 100 feet (31 meters) off the ground.

The world's longest road bridge is the 34-mile (55-km) long Bang Na expressway in Thailand, a six-lane elevated highway that crosses only a bit of water, the Bang Pakong River. Constructing the massive bridge required more than 1,800,000 cubic meters of concrete.
Tukijenga kama hilo la China hapo juu inabidii tuchukue fedha zote za bajeti yetu ya mwaka katika wizara zote
 
mkuu, nini kimepingwa hapa? sipingi ujenzi wa daraja, ijapokuwa limejengwa KIFISADI (hujasikia jana watu wametumbuliwa?)....ninachopinga ni kiwango cha MIKELELE tunayopigiwa hadi mradi unageuzwa kuwa kete ya kisiasa na baadhi ya wanasiasa uchwara. umenielewa?
Ukimjudge samaki kwa kushindwa kupanda mti mjinga utakuwa wewe na si samaki. Kila kitu ni kikubwa au kidogo tokana na mazingira yake. Daraja la kigamboni linastahili pongezi linazopata kulinganisha na uwezo wetu. Pili ulitaka tujenge daraja la urefu wa 50km sehemu ya 1km?

Kwa reasoning yako naionea Tz huruma.
 
Ukimjudge samaki kwa kushindwa kupanda mti mjinga utakuwa wewe na si samaki. Kila kitu ni kikubwa au kidogo tokana na mazingira yake. Daraja la kigamboni linastahili pongezi linazopata kulinganisha na uwezo wetu. Pili ulitaka tujenge daraja la urefu wa 50km sehemu ya 1km?

Kwa reasoning yako naionea Tz huruma.
mkuu, rejea kwenye mada....mimi sipingi ujenzi ila napinga idadi ya MAKELELE tunayopigiwa na hawa wanasiasa uchwara kwa kujenga kidaraja cha mbao kwa kutumia fedha za wananchi ambazo pia zimefisadiwa na dr dau...na badala ya fisadi huyo kufungwa jela eti anateuliwa kuwa balozi wa tanzania nchini tanzania! wewe huoni kwamba kuna shida hapo?
 
Tukijenga kama hilo la China hapo juu inabidii tuchukue fedha zote za bajeti yetu ya mwaka katika wizara zote
mkuu, kujenga daraja kama hilo la China itachukua bajeti ya tanzania kwa miaka 10! na siku wakifanikiwa kujengewa daraja kama hilo (na NSSF au mfadhili yeyote) siku hiyo watavua nguo watembee uchi barabarani.
 
mkuu, rejea kwenye mada....mimi sipingi ujenzi ila napinga idadi ya MAKELELE tunayopigiwa na hawa wanasiasa uchwara kwa kujenga kidaraja cha mbao kwa kutumia fedha za wananchi ambazo pia zimefisadiwa na dr dau...na badala ya fisadi huyo kufungwa jela eti anateuliwa kuwa balozi wa tanzania nchini tanzania! wewe huoni kwamba kuna shida hapo?
sina hakika kama hilo daraja limejengwa kwa mbao!!!!
 
Dah... Halaf eti huyu nae atajiita mwanaume, nyuzi nyingine hizi wanazianzisha sijui wakiwa katika pozi gani

Hilo ni daraja letu sisi, hatusemi ni daraja bora kupita yote dunian, ila kwakuwa hatukuwah kuwa nalo acha tuwe proud, sijaona mahala mtz kasimama kusema hili ni daraja bora zaid au la maajabu hapana

Tunafurahia kuwa nalo linatusaidia., sasa wewe povu la nini!!?
 
mkuu, bado hujanielewa....mimi sipingi ujenzi wa daraja ila napinga wingi wa MAKELELE tunayopigiwa kuhusu ujenzi hiko kidaraja cha mbao wakati wenye madaraja yao wamekaa kimya. unakumbuka jinsi dr makufuri alipowananga watu waliokuwa wakimkosoa fisadi dau kwa kutafuna fedha za wanachama wa NSSF. sasa kiko wapi mbona huyo MTUMISHI hewa ameumbuka baada ya vigogo wa NSSF kutumbuliwa kwa ufisadi ulioongozwa naye? hii ndio theme ya mada. usiwe kama akina FaizaFoxy, Ritz, Simiyu Yetu, MwanaDiwani, thatha, Tata madiba, Lizaboni, et al wanaosifia kila kitu hata kama ni cha kifisadi.
mkuu, bado hujanielewa....mimi sipingi ujenzi wa daraja ila napinga wingi wa MAKELELE tunayopigiwa kuhusu ujenzi hiko kidaraja cha mbao wakati wenye madaraja yao wamekaa kimya. unakumbuka jinsi dr makufuri alipowananga watu waliokuwa wakimkosoa fisadi dau kwa kutafuna fedha za wanachama wa NSSF. sasa kiko wapi mbona huyo MTUMISHI hewa ameumbuka baada ya vigogo wa NSSF kutumbuliwa kwa ufisadi ulioongozwa naye? hii ndio theme ya mada. usiwe kama akina FaizaFoxy, Ritz, Simiyu Yetu, MwanaDiwani, thatha, Tata madiba, Lizaboni, et al wanaosifia kila kitu hata kama ni cha kifisadi.
mkuu, bado hujanielewa....mimi sipingi ujenzi wa daraja ila napinga wingi wa MAKELELE tunayopigiwa kuhusu ujenzi hiko kidaraja cha mbao wakati wenye madaraja yao wamekaa kimya. unakumbuka jinsi dr makufuri alipowananga watu waliokuwa wakimkosoa fisadi dau kwa kutafuna fedha za wanachama wa NSSF. sasa kiko wapi mbona huyo MTUMISHI hewa ameumbuka baada ya vigogo wa NSSF kutumbuliwa kwa ufisadi ulioongozwa naye? hii ndio theme ya mada. usiwe kama akina FaizaFoxy, Ritz, Simiyu Yetu, MwanaDiwani, thatha, Tata madiba, Lizaboni, et al wanaosifia kila kitu hata kama ni cha kifisadi.
ukiambiwa utoe ushahidi kuthibitisha ufisadi wa dr Dau utaweza ww? kwanza inaonyesha humjui dr Dau ila umelishwa chuki dhidi yake tu ....hujui utendalo mpingamaendeleo ww pole sana
 
Back
Top Bottom