Daraja Korofi la tangu Uhuru la Fundimbaga -Tabora mita 45 kwa muda mchache liko tayari

Rais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,

Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,

Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,

Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Useless, hili ni faraja ama kivuko.
 
Rais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,

Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,

Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,

Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Tabora au wap mkuuu samahani au Ruvuma kuna kijisehemu kanazawa TABORA
 
Rais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,

Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,

Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,

Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Safi sana hii, Tanzania nakupenda sana,

Hakuna Kama Rais Samia😍😍
 
Rais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,

Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,

Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,

Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Safi sana hii, Tanzania nakupenda sana,

Hakuna Kama Rais Samia😍😍
 
Rais wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan ameipongeza ATCL kwa kupanua biashara ya usafiri na usafirishaji ya anga, hasa baada ya ATCL kuongeza safari zake za kibiashara kwa karibu mara tatu.

Rais Samia ameipongeza zaidi ATCL kwa kurejesha Safari za Kenya Nairobi tena kwa gharama ndogo ya KSh37,525 au $334 sawa na TZS 770, Two ways.

Lazima tufahanu kuwa mwendo huu wa kasi wa ATCL ni kabla ya ujio wa ndege mpya tano za kisasa zinazotarajiwa kuingia nchini ndani ya kipindi kifupi kijacho, hakika hakuna kama Rais Samia.



Natangaza rasmi kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan,
 
Rais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,

Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,

Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,

Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
Rais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,

Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,

Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,

Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
 
"Kama Katiba ingeruhusu Mhe Samia Suluhu Hassan hakupashwa kuwa Rais wa mihula miwuli pekee,

Huyu Mama walau kwa Uchache angestahili miaka walau 15 "
 
Rais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,

Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,

Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,

Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Kaziiendelee
 
Kwa speed hii ya Rais Samia, Tanzania huenda ikaibua mabilionea wapya 100 miaka miwili ijayo,Tufanye kazi kwa bidii zaidi
 
Back
Top Bottom