๐๐๐haya ingia kwenye ile ID nyingine ujijibu mwenyewe.
๐๐๐haya ingia kwenye ile ID nyingine ujijibu mwenyewe.
Nikweli kabisaMbowe ni gaidi
Chadema pumzi inawakata aise,๐๐๐
Unataka kubisha kwa kutumia kigezo cha muda?Ndio mlianza kujenga lini? Uswahili ili uwe mtamu, lazima uwe na maneno mengi
Pitia kule TARURA
Muda Mwalimu mzuri. Tuna miaka 60 ya uhuru na naona kama bado tunafikiri kupiga story nyingi ndio kuleta maendeleo. And yet, mpaka leo hii kuna sehemu hakuna maji, madarasa, barabara wala umeme.Unataka kubisha kwa kutumia kigezo cha muda?
Uko sahihiMuda Mwalimu mzuri. Tuna miaka 60 ya uhuru na naona kama bado tunafikiri kupiga story nyingi ndio kuleta maendeleo. And yet, mpaka leo hii kuna sehemu hakuna maji, madarasa, barabara wala umeme.
Tupunguze hizi hadithi. Tufanye kazi. kazi zetu zitajieleza zenyewe
Hongera sana Rais SamiaRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
haya ingia kwenye ile ID nyingine ujijibu mwenyewe.
Piga kazi mama SamiaRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Duuuh, hata wewe naona unaadnika na kujijibu, Hongera bwana Chadema
jamaa ako na ID 4 akianzisha mada na ile ID ina anzaga na CM ### ana kuja kucomment na ID zingine zile za mpango mkakati
Serikali inayoacha alama,Rais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
ID za kimkakatiRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
upiHuyu mama akili zake zote kwenye uchaguzi 2025. Kaajiri vilaza kibao mitandaoni wamsaidie ujinga mtupu
GoodRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Achana na "ID" NJOO NA HOJAID za kimkakati
Safi SanaRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Tanzania mpyaRais Samia Suluhu kwa kutumia Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA,
Huu ni muonekano wa Daraja jipya la Fundimbaga lenye urefu wa mita 45 katika barabara ya Tabora - Fundimbaga,
Daraja hili linalounganisha kata za Matemanga na Marumba Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma likiwa tayari limekamilika ili Kuboresha huduma za Kijamii ili wananchi wajipatia mahitaji yao mbalimbali,
Hakika " TARURA Tunakufungulia Barabara Kufika Kusiko Fikika "
View attachment 1995568
Mimi sio KibatalaWewe ndio mtetezi wake?