Labda waliziunguza kwanza ili urahisi upatikaneSafar hii wamemdaka zito au tunguli zake pia zimeungua kigoma
Ha ha ha Mbiti unavituko!
kwa nini awamu hii inatumia ghalama na nguvu kuzuia hoja kinzani
leo wamemtoa aghakan Kubenea na kushindwa kumhoji na kumrudisha
hizi ghalama zinatumika za NDUGAI au kodi zetu ?
Haaa uoga asili yetuahhaa na tulivyo mioga !
Hao wanasheria nao hawaeleweki,sababu ilishatolewa ya yeye kutakiwa kukamatwa.Ndo taarifa zinavyodai...
======
TAARIFA KWA UMMA
Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, ndugu Zitto Kabwe amekamatwa na Polisi muda huu uwanj a wa ndege wa JNIA, Dar es salaam wakati akitoka Kigoma.
Kwa sasa wanasheria wa chama wanafuatilia kujua sababu za kukamatwa kwake
Abdallah Khamis
Afisa Habari - ACT Wazalendo