MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
ZANA ZILICHOMWA NA MOTOHawajakuta ziwa Tanganyika kama alivyotishia?
ZANA ZILICHOMWA NA MOTOHawajakuta ziwa Tanganyika kama alivyotishia?
Mkuu kusema dictatorship na hiyo avatar yako, nimeshindwa kukuelewa.Dictatorship....
KurambilaSaafi wamfunge brake anaropoka sana
We mwenyewe ukamatwe maana umeropokaSaafi wamfunge brake anaropoka sana
sijui kama ulikuwa tayari umezaliwa lakini 1972 Wazanzibari hawakulazimika kuingia barabarani.MAKAMANDA INGIENI BARABARANI MKAMTOE LISSU ALIPIGWA RISASI MMEKALIA KULALAMA KWENYE MITANDAO ZITTO KAKAMATWA MNALALAMIKA KWENYE MITANDAO MADIWANI WENU WANANUNULIWA MNALALAMIKA KWENYE MITANDAO INGIENI BARABARANI KAMA MISRI NA TUNISIA
Mtasema yoteAnachanganya takwimu za robo mwaka ya kwanza na kuzifanya ni za sasa..
Kwani mambo ya BOT hayawahusu hao wananchi wanaopiga kura za diwani? Data hizo za BOT mbona zinaweza kutumika katika baraza la madiwani kuleta maendeleo sasa kma zinapotoshwa na idara ya takwimu kwa nini watu wasielezwe?
Nchi imekuwa ya kienyeji sana kwa sasa.
Shekhe Ponda ndoa nani???Shekhe mponda kasema tusiogope kuikemea hii serikali ya awamu ya 5 hata kwa upanga.
Swissme
Si alisema ye hawezi kamatwa
Tutazindua sana hata vya zamaniNa jana tumezindua kingine Mwanza!
UchocheziKwa kosa gani.