nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
Hii sijui ni dharula, bahati mbaya ama nini, ila hakuna taarifa yoyote, ila mji mkuu wa Kibiashara na shughuli za Kiserikali Dar es salaam hauna nishati ya umeme tangu saa 12.30 asubuhi, nimewasiliana na wakazi wa Kawe, Mbezi Beach, Mbezi Kimara,Ubungo, Temeke,Mbagala, Buguruni ,Ukonga, Vingunguti, Lumo,Kwa Gude, Manzese na hata Kigamboni kote wamenithibitishia hakua stima.
Nimekua nafatilia matangazo ya TV , Radio mpaka saa hizi hakuna mjuzo wowote kwa umma juu ya kinachoendelea.
Kweli huu ni uungwana ? kwanini hata kama kuna dharula wasiujuzem Umma kuwa kuna itilafu ?
Nimekua nafatilia matangazo ya TV , Radio mpaka saa hizi hakuna mjuzo wowote kwa umma juu ya kinachoendelea.
Kweli huu ni uungwana ? kwanini hata kama kuna dharula wasiujuzem Umma kuwa kuna itilafu ?