Hata Hitler bado anakumbukwa kumbukaHakuna cha drama mkuu, ukitenda mema utakumbukwa milele ndio mana manabii wa Mungu wanakumbukwa miaka zaidi ya elfu mbili sasa.
Special forces wapo vizuri!
Ndio, hata nyerere anakumbukwa na naona wanamuigiza hapa, kwanini Magu akikumbukwa unasema drama.Hata Hitler bado anakumbukwa kumbuka
Mbaka nimetetemeka huyu masanja ameonge utumbo sana yani mambo ya hovyohovyo tu mbele ya wagemi. Aibu sana.... wakati Kiduku siku kama ya leo hufungulia ghala za jeshi kuonesha creativity aka brains za watu wake sisi tunawaleta nani sijui mkandamizaji kuonesha upumbavu mbele ya viongozi wa dunia. Aibu tupu.
.... Sasa anamtaja Joe Biden na US kwenye hadhira kama ile inahusu? Mjinga kweli.Mbaka nimetetemeka huyu masanja ameonge utumbo sana yani mambo ya hovyohovyo tu mbele ya wagemi. Aibu sana.
Anaomba kutest mitambo ya kijeshi na Kagame!! Anafikiri atapigiwa makofi. Hivi Hawa wasanii wetu huwa hawafanyiwi rehearsal?? Yaaani kaboa kiwango cha sgr!!Hivi huyu masanja nani kampa nafasi hawamuuliza anaenda kufanya nini ?
Aisee karopoka ujinga mwingi sana yeye auonae ni kichekesho.
Yani ni mpumbavu nafhani hata waliompa nafasi wanajuta...! Angekuwa anakunywa pombe ningesema amelewa!Anaomba kutest mitambo ya kijeshi na Kagame!! Anafikiri atapigiwa makofi. Hivi Hawa wasanii wetu huwa hawafanyiwi rehearsal?? Yaaani kaboa kiwango cha sgr!!
Jinga sana, niaibu kwa waandaaji next time inabidi kumuuliza mtoa burudani anataka kuongea nini kwenye hadhira kama ile ili kuedit ujingaujinga wote..... Sasa anamtaja Joe Biden na US kwenye hadhira kama ile inahusu? Mjinga kweli.
Sasa kama master mind wao ni steve nyerere unategemea nini?!Anaomba kutest mitambo ya kijeshi na Kagame!! Anafikiri atapigiwa makofi. Hivi Hawa wasanii wetu huwa hawafanyiwi rehearsal?? Yaaani kaboa kiwango cha sgr!!
Unalipa kodi stahiki?Happy Independence day. Naipenda nchi yangu. Mimi ni mzalendo
Sijawahi kukwepaUnalipa kodi stahiki?
Tukikosoa humu wanaacha. Leo wamekuja na jipya. Wana mabegi migongoni kama machinga wauza shanga.Leo hawajafanya igizo la kuvunjiana tofali za mchanga mtupu?
Tukikosoa humu wanaacha. Leo wamekuja na jipya. Wana mabegi migongoni kama machinga wauza shanga.