Roving Journalist

JF Roving Journalist
Apr 18, 2017
2,746
11,872
Matukio Katika Picha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaongoza Viongozi wa Kitaifa na Kimataifa pamoja na Wananchi katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara yanayofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam

#Miaka60YaUhuru

#AMANIYETUFURAHA YETU

====

UPDATES:

1150hrs: Vijana wanaendelea na maonesho.

IMG_20211209_114815_339.jpg
IMG_20211209_114812_983.jpg
IMG_20211209_114809_889.jpg
IMG_20211209_114807_750.jpg
IMG_20211209_114805_723.jpg
20211209_155118.jpg
20211209_155121.jpg
20211209_155124.jpg
20211209_155127.jpg
20211209_155139.jpg
20211209_155144.jpg
20211209_155149.jpg
20211209_155152.jpg


======
Rais Samia awashukuru watanzania kwa kufika uwanja wa Jamhuri kuadhimisha maadhimisho ya siku ya Uhuru, Na pia ametoa utambulisho wa Viongozi mbalimbali wa Nchi tofauti wakiwemo wawakilishi waliowawakilisha viongozi wakuu wa nchi.

Lakini pia amemtaja Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kuwa ndiye mgeni rasmi katika shughuli hii ya leo na kuwa yupo nchini kwa ziara maalum.

Dar es Salaam. Marais wa nchi nne pamoja na marais wastaafu watatu wamehudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru zinazoendelea sasa katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo Alhamisi Desemba 9,2021.

Marais hao ni wa Kenya, Rwanda, Msumbiji pamoja na visiwa vya Comoro na wengine ambao hawakuweza kufika wametuma wawakilishi.

Kati yao, alianza kuwasili rais mstaafu wa Malawi Joyce Banda ndiye na kufuatiwa na rais mstaafu wa Msumbiji aliyeambatana na Waziri wake wa Afya.

Baadaye aliwasili rais mstaafu wa Botswana aliyeambatana na waziri wa mambo ya nje na baadaye aliwasili waziri mkuu wa nchini DRC Congo.

Aliyefuata alikuwa rais wa visiwa vya Comoro, Azali Assouman, rais wa Msumbiji, Philipe Nyusi, rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta na wa mwisho alikuwa rais wa Rwanda Paul Kagame.

Viongozi wengine waliowasili ni rais wa mahakama ya Afrika, mabalozi wa nchi mbalimbali na wakurugenzi wa wizara.
 
Katika maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru katika Burudani,natamani ningemuona BARAKA MAGUFULI akimuigiza mzee baba nione watu wangeriact vipi hapa uwanjani.
Masanja na Stev Nyerere watafanya maigizoyao.
Baraka Magufuli nilitaka angalau asalimietu nipime upepo 😂😂😂.
 
Katika maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru katika Burudani,natamani ningemuona BARAKA MAGUFULI akimuigiza mzee baba nione watu wangeriact vipi hapa uwanjani.
Masanja na Stev Nyerere watafanya maigizoyao.
Baraka Magufuli nilitaka angalau asalimietu nipime upepo .
Kila drama huwa na mwisho wake..kishapo tunaanza new season
 
Uwanja umejaa mpaka wengine wamekaa kwenye madaraja ya kupandia uwanja mpya wa Benjamin Mkapa...sherehe zinavutia kila la heri Rais Mama Samia.
 
Matukio Katika Picha: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwaongoza Viongozi wa Kitaifa na Kimataifa pamoja na Wananchi katika Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania Bara yanayofanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam

#Miaka60YaUhuru

#AMANIYETUFURAHA YETU

====

UPDATES:

1150hrs: Vijana wanaendelea na maonesho.

View attachment 2038024View attachment 2038025View attachment 2038026View attachment 2038027View attachment 2038028

Maadhimisho ya watanganyika ajabu jukwaa kuu limetawaliwa/limejaa wamakunduchi (wazenji)
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom