Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila kufanya kazi !¡View attachment 1730956
Fedha zinarejea kwenye mzunguko Furaha inarejea Tanzania.
Unaweza kukimbizana na msafara Kweli Wayule usiyempenda Kweli!Hata ruge alijaza nyomi, pia watanzania hufatilia mambo ku chabo haihusiani na upendo mie mwenyewe nimeenda kuchabo msafara wake na haihusiki na upendo
Aisee ummati huu sijawahi shuhudiaMambo Ya Kawaida Haya.
Apumzike Kwa Amani
Amelala Mauti
Tutamkumbuka Sana
Wengi hapo ni akina mama ambao wanasubiri kupewa ugali na mwanaume,awamu ya magufuli walioumizwa wengi ni wanaume fanya utafiti kidogo hapo mtaani kwako uliza akina mama vipi huu msiba wa Rais wetu ?Watakujibu kwa huzuni sana kwamba tumeumia lakini ukija kwa wanaume watakuambia aende zake tuTizama nyomi ya watu, Kweli jamaa alisema tutamkumbuka.
Angalia msafara kuelekea air port.
Wewe Mwenyewe Unaishi Wapi?Aisee ummati huu sijawahi shuhudia
Nilichogundua ni kwamba magufuli anapendwa Sana na watu wenye maisha ya kawaida ila Kwa watu wlioguswa biashara, kazi na mambo yao hawamkubari ila kiaslimia magufuli anapendwa na watu wengi ukilinganisha na wasiompenda. Sana Sana wasiompenda wapo JF.Wengi hapo ni akina mama ambao wanasubiri kupewa ugali na mwanaume,awamu ya magufuli walioumizwa wengi ni wanaume fanya utafiti kidogo hapo mtaani kwako uliza akina mama vipi huu msiba wa Rais wetu ?Watakujibu kwa huzuni sana kwamba tumeumia lakini ukija kwa wanaume watakuambia aende zake tu
Acha kuandika pumba....Hata ruge alijaza nyomi, pia watanzania hufatilia mambo ku chabo haihusiani na upendo mie mwenyewe nimeenda kuchabo msafara wake na haihusiki na upendo
Nimezaliwa 87Wewe Mwenyewe Unaishi Wapi?
Isijekuwa Ile Kauli Ya JPM Waliozaliwa 1980
siku zote wanaolia na kujitokeza misibani ni akina mamaWengi hapo ni akina mama ambao wanasubiri kupewa ugali na mwanaume,awamu ya magufuli walioumizwa wengi ni wanaume fanya utafiti kidogo hapo mtaani kwako uliza akina mama vipi huu msiba wa Rais wetu ?Watakujibu kwa huzuni sana kwamba tumeumia lakini ukija kwa wanaume watakuambia aende zake tu
Eeh ulipotea mitaa hii mama. Karibu tena.We unaonaje?
Acha kuandika pumba....
He was loved at all
Yaani unawashangaa Wabongo kujaa kwenye matukio wakati kazi hawana?! Tafuta clip ya Msiba wa Kanumba na Ruge Mutahaba!!! Bongo hata akifa Amber Rutty kisha tukio lipate airtime na hatimae kupelekwa Taifa, lazima nyomi liwepo!!!
Nimekumbuka nyomi ya Lipumba siku anarudi toka ulaya kwenye kamati ya kufufua uchumiHata ruge alijaza nyomi, pia watanzania hufatilia mambo ku chabo haihusiani na upendo mie mwenyewe nimeenda kuchabo msafara wake na haihusiki na upendo