CHECHEMLENDA
JF-Expert Member
- Sep 19, 2021
- 253
- 344
Ajira imekuwa tatizo yaani hili nalo mtu analiita dili!! Na anakwenda kumtoa uhai mdada kwa pesa yakipuuzi ðŸ˜ðŸ˜Dunia imekwisha
Ajira imekuwa tatizo yaani hili nalo mtu analiita dili!! Na anakwenda kumtoa uhai mdada kwa pesa yakipuuzi ðŸ˜ðŸ˜Dunia imekwisha
Inasemekana alichukua hati ya nyumba za urithi kwenda kukopea mahala, si unajua nyumba za ilala za familia.Mama ake amefariki mwaka Jana hakuna mwenye uchungu hapo hao ndugu wamepigwa biti kuzuia taharuki ila wasingeropoka km ingekua uongo!!kipo kilichofanyika!
1.7M ? Aisee
Sawa.Kuna shida gani sehemu kuitwa kwa Bi Kidawa? Ni sawa kuitwa St Paul's ila kwa bi kidawa ni uswahili? Kuna shida gani sehemu kuitwa Tabata Segerea au Calabash bar? Au makaburini? Kuna sehemu huko mnakoona kumestaarika zina majina hayo hayo ya bar na makaburi ila kwa sababu ni kiingereza ndio mnaona kuelimika!
Ha ha ha uwe na siku njema.St. Paul ni mji unajulikana, uko Minnesotta.
Kwa Bi Kidawa ni wapi?
Tabata Segerea ni wapi ?
so kifo kimereflect maisha yake!Barke pesa, Barke bank mara Johnsinner bouncer mara sijui white....haya majina yanaonyesha hawa wote ni binadamu wa hovyohovyo....Barke pesa ukiangalia picha zake makucha, vipini utagundua ni mtu wa mapichamapicha tu..
Daahh!aseehh!km ni hvyo baasi ndo maana!Inasemekana alichukua hati ya nyumba za urithi kwenda kukopea mahala, si unajua nyumba za ilala za familia.
Yule aliyepelekewa hati akawatonya wana familia.
Mtungo kikubwa Bei inapanda Mana mademu wa dar hupanga vyumba kwajili yakupumzika baada yakugongwa Sana lodge/guest and hotel wao hujifanya eti nilikua kazini ,jeshi lapolist linajua wageni wooote walalaji huko niwenyeji wa dar wenyeweKutoa mtu figo inahitaji utaalam ikiwezekana zaidi ya mmoja wameruhusu vipi chumba zaidi ya watu 2 au ile ingia toka hawakuhisi kitu
Hio guest nayo ichunguzwe
Kuna demu walimkataga mguu hivyo hivyo kwanza walimwingilia mtungoWanaume wenye pesa za kuunga unga unajua tu labda kama mwanamke huna akili. Saa ingine sio kuunga unga tu, kuna watu wanapata pesa zao kwa shida sana halafu anaenda mpa mtu anamchukulia poa.
Mfano drug dealers au majambazi, ukila hela yake na ukakitembeza nje hata awe tajiri vipi hatakuacha salama.
Ulitaka iitwe nini?najaribu kuchangia tu mawazo ili siku moja tujenge na tupange miji yetu ili ukiambiwa namba ya jengo, jina la barabara na mji, unafika.
Polisi, of all the official taasisi's, isiwe ya kuendekeza majina ya vijiweni ambayo hayapo mahala popote rasmi... Tabata Calabash Bar, Segerea ya Tabata, Tabata kwa Bi Kidawa, Tabata Segerea.... what the hell is Tabata Segerea?
kuonyesha mapungufu ya jamii yako sio kuponda, mawazo ya kiswahili hayo, tuelimike
nilitaka nini iitwe nini ?Ulitaka iitwe nini?
Mkuu mbona una complicate sana mambo duuh!!!nilitaka nini iitwe nini ?
Ulitaka Tabata Segerea iitwe nini?nilitaka nini iitwe nini ?
Kwani ni kosa mtu kua mzuri???Na hapo ndio wengi hukosea. Maana hudhani wanaweza kuutumia uzuri huo kuwachezea watu watakavyo bila ya kujua watu hutofautiana kwa tabia na kiwango cha uvumilivu.
Labda hujaelewa. Hakuna mahali nimesema kuwa ni kosa. Jaribu kusoma vizuri nilichoandika.Kwani ni kosa mtu kua mzuri???
DuhHuyo binti alikuwa malaya sana yaani katongozwa kaingia king chapchap
Hao jamaa wauaji ni mashujaa.
Hakuna Tabata Segerea dunianiUlitaka Tabata Segerea iitwe nini?
Kumbe we ni taahira, kwahiyo na daladala zinazoandikwa Tabata Segerea (T/Segerea) nazo hazipo? Acha kupotezea watu muda.Hakuna Tabata Segerea duniani
Kuna Tabata na kuna Segerea
Jeshi la polisi ambalo haliwezi hata ku describe geographic sections za mji, ukichanganya na apathetic populace ambayo inaona ni sawa tu, hawawezi kudhibiti uhalifu.
Unamtafutaje mhalifu kama maeneo tu ya mji huyajui ? That is policing 101.