Dar: Watu wawili mbaroni kwa mauaji ya Barke Rashid. Wivu wa mapenzi wadaiwa kuwa chanzo

Mama ake amefariki mwaka Jana hakuna mwenye uchungu hapo hao ndugu wamepigwa biti kuzuia taharuki ila wasingeropoka km ingekua uongo!!kipo kilichofanyika!
Inasemekana alichukua hati ya nyumba za urithi kwenda kukopea mahala, si unajua nyumba za ilala za familia.
Yule aliyepelekewa hati akawatonya wana familia.
 
hii tabia ya umalaya itawamaliza wengi sana.
badilikeni, acheni tabia ya kuuza miili yenu mtakwisha.
 
Kuna shida gani sehemu kuitwa kwa Bi Kidawa? Ni sawa kuitwa St Paul's ila kwa bi kidawa ni uswahili? Kuna shida gani sehemu kuitwa Tabata Segerea au Calabash bar? Au makaburini? Kuna sehemu huko mnakoona kumestaarika zina majina hayo hayo ya bar na makaburi ila kwa sababu ni kiingereza ndio mnaona kuelimika!
Sawa.

St. Paul ni mji unajulikana, uko Minnesota.

Kwa Bi Kidawa ni wapi?

Tabata Segerea ni wapi ?
 
Barke pesa, Barke bank mara Johnsinner bouncer mara sijui white....haya majina yanaonyesha hawa wote ni binadamu wa hovyohovyo....Barke pesa ukiangalia picha zake makucha, vipini utagundua ni mtu wa mapichamapicha tu..
so kifo kimereflect maisha yake!
 
Inasemekana alichukua hati ya nyumba za urithi kwenda kukopea mahala, si unajua nyumba za ilala za familia.
Yule aliyepelekewa hati akawatonya wana familia.
Daahh!aseehh!km ni hvyo baasi ndo maana!
Marehemu anaonekana alishajishukuru na life lake!kaah!!alikua mtoto wa mjini sana!
 
Kutoa mtu figo inahitaji utaalam ikiwezekana zaidi ya mmoja wameruhusu vipi chumba zaidi ya watu 2 au ile ingia toka hawakuhisi kitu
Hio guest nayo ichunguzwe
Mtungo kikubwa Bei inapanda Mana mademu wa dar hupanga vyumba kwajili yakupumzika baada yakugongwa Sana lodge/guest and hotel wao hujifanya eti nilikua kazini ,jeshi lapolist linajua wageni wooote walalaji huko niwenyeji wa dar wenyewe
 
Wanaume wenye pesa za kuunga unga unajua tu labda kama mwanamke huna akili. Saa ingine sio kuunga unga tu, kuna watu wanapata pesa zao kwa shida sana halafu anaenda mpa mtu anamchukulia poa.
Mfano drug dealers au majambazi, ukila hela yake na ukakitembeza nje hata awe tajiri vipi hatakuacha salama.
Kuna demu walimkataga mguu hivyo hivyo kwanza walimwingilia mtungo

Jamaa maana alihudumia na alimnunulia ki toyo ukicheki ye mwenyewe ni unga unga mwana kwangu pakavu demu hakuridhika sasa huwa ndio kitu kinachofanya niwashangae dada zangu unajijua huna kazi mwanaume anakuwezesha kama hivyo kwa nini usitulie


Siku mbili Kabla ya tukio walichoma toyo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
najaribu kuchangia tu mawazo ili siku moja tujenge na tupange miji yetu ili ukiambiwa namba ya jengo, jina la barabara na mji, unafika.

Polisi, of all the official taasisi's, isiwe ya kuendekeza majina ya vijiweni ambayo hayapo mahala popote rasmi... Tabata Calabash Bar, Segerea ya Tabata, Tabata kwa Bi Kidawa, Tabata Segerea.... what the hell is Tabata Segerea?

kuonyesha mapungufu ya jamii yako sio kuponda, mawazo ya kiswahili hayo, tuelimike
Ulitaka iitwe nini?
 
Ulitaka Tabata Segerea iitwe nini?
Hakuna Tabata Segerea duniani

Kuna Tabata na kuna Segerea

Jeshi la polisi ambalo haliwezi hata ku describe geographic sections za mji, ukichanganya na apathetic populace ambayo inaona ni sawa tu, hawawezi kudhibiti uhalifu.

Unamtafutaje mhalifu kama maeneo tu ya mji huyajui ? That is policing 101.
 
Hakuna Tabata Segerea duniani

Kuna Tabata na kuna Segerea

Jeshi la polisi ambalo haliwezi hata ku describe geographic sections za mji, ukichanganya na apathetic populace ambayo inaona ni sawa tu, hawawezi kudhibiti uhalifu.

Unamtafutaje mhalifu kama maeneo tu ya mji huyajui ? That is policing 101.
Kumbe we ni taahira, kwahiyo na daladala zinazoandikwa Tabata Segerea (T/Segerea) nazo hazipo? Acha kupotezea watu muda.
 
Back
Top Bottom