Figo haijatajwa lakini.Walienda kuifanyia nini hiyo Figo? Hili nadhani ndo swali muhimu
Figo haijatajwa lakini.Walienda kuifanyia nini hiyo Figo? Hili nadhani ndo swali muhimu
Mkuu, nayapenda mno hayo magonjwa!Ungejua...yale nayoandika humu na mie mwenyewe in real life vitu. Viwili tofauti. I suffer from double personality disorder...magonjwa ya kidhungu hayo. Kwa kiswahili wanasema chizi kama sijakosea
Pale kitambaa ukienda unakuta watu wa michongo tu vijana wamenyonga dreid wengine fulu mata tooo yan tafrani afu bia 24/7 wanakeshaBarke pesa, Barke bank mara Johnsinner bouncer mara sijui white....haya majina yanaonyesha hawa wote ni binadamu wa hovyohovyo....Barke pesa ukiangalia picha zake makucha, vipini utagundua ni mtu wa mapichamapicha tu..
Pale kitambaa ukienda unakuta watu wa michongo tu vijana wamenyonga dreid wengine fulu mata tooo yan tafrani afu bia 24/7 wanakesha
doh mbona kama naona uric acid hapo katikati ya suruali, ndo baunsa mwenyewe huyu!?..Poleni na majukumuu wakuu hiii ni video ya mtuhumiwa wa mauaji ya Barke Rashid akihojiwa na polisi.
View attachment 2097222
Nitumie pm kaka hapa inaznguaPoleni na majukumuu wakuu hiii ni video ya mtuhumiwa wa mauaji ya Barke Rashid akihojiwa na polisi.
View attachment 2097222
Wewe civil engineer unavitukoDaa, ndio huyo? Mrembo hivyo?!
najaribu kuchangia tu mawazo ili siku moja tujenge na tupange miji yetu ili ukiambiwa namba ya jengo, jina la barabara na mji, unafika.Uliuliza ili upate angle ya kuponda?!!
Kwenye hiyo video mbona hakuna sehemu mtu aliyo teswa?Kweli ameua lakini aina hii ya utesaji katika kupata ushahidi ndio inapata ukinzani pale linapofika kwa pilato. Manake atasema nilikiri baada ya kuteswa!!
Kuna shida gani sehemu kuitwa kwa Bi Kidawa? Ni sawa kuitwa St Paul's ila kwa bi kidawa ni uswahili? Kuna shida gani sehemu kuitwa Tabata Segerea au Calabash bar? Au makaburini? Kuna sehemu huko mnakoona kumestaarika zina majina hayo hayo ya bar na makaburi ila kwa sababu ni kiingereza ndio mnaona kuelimika!najaribu kuchangia tu mawazo ili siku moja tujenge na tupange miji yetu ili ukiambiwa namba ya jengo, jina la barabara na mji, unafika.
Polisi, of all the official taasisi's, isiwe ya kuendekeza majina ya vijiweni ambayo hayapo mahala popote rasmi... Tabata Calabash Bar, Segerea ya Tabata, Tabata kwa Bi Kidawa, Tabata Segerea.... what the hell is Tabata Segerea?
kuonyesha mapungufu ya jamii yako sio kuponda, mawazo ya kiswahili hayo, tuelimike
Huoni jamaa kakanyagwa miguuni?Kwenye hiyo video mbona hakuna sehemu mtu aliyo teswa?
hii yote ni kwwajili ya ccm tu au vipi?Uhai wa binadamu kwa 1.7m dunia imekwisha.