figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Kuna ajali imetokea Shekilango, daladala ya Kariakoo imegongana na fuso, watu watano wakiwemo Wanafunzi wamepoteza maisha. Marehemu ya Majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Palestina.
Ajali imetokea Maeneo ya Kamanyola barabara ya Sinza.
Ajali imetokea Maeneo ya Kamanyola barabara ya Sinza.