Dar: Wanafunzi 4 wa Chuo Kikuu cha Kampala kortini kwa kumkashifu Rais Magufuli kupitia WhatsApp

Mpum

avu mamaako! Serikali imekosa chs kufanys inakimbizana na viteenagers kwenye whatsapp groups. What is this? Sheer nonsense. Ushamba mtupu! Kwanza hiyo kejeli ina impact gani kwake? Inamzuia vipi kujenga Tanzsnia ya viwanda. Mmebaki kudeal na trivial things wakati nchi ina mambo ya msingi ya kufanya. Mnapoteza muda na resources za mahaksma kwa vijikesi vya ajabu ajabu! Nonsense!
YOU ARE A USELESS FOOL. JITAHIDI KUTUMIA AKILI NA SIO KURUSHA MATUSI HUMU MITANDAONI. ITAKUSAIDIA NINI KUTUKANA WATU?
 
Kaahirisha kujenga viwanda anahangaika na watu kwenye wasapu
sasa serikali itajengaje viwanda? inawaandalia mazingira hao wasomi ili wawekeze kwenye viwanda, wao wanapoteza muda kwenye whatsapp kuzungusha picha za kijinga. serikali inatengeneza mazingira ya uwekezaji, dunia nzima kwa sasa hiyo ndo kazi ya serikali bob
 
sasa serikali itajengaje viwanda? inawaandalia mazingira hao wasomi ili wawekeze kwenye viwanda, wao wanapoteza muda kwenye whatsapp kuzungusha picha za kijinga. serikali inatengeneza mazingira ya uwekezaji, dunia nzima kwa sasa hiyo ndo kazi ya serikali bob
Sasa alipokua anatoa ahadi kwenye kampeni kwamba Serikali yake itakuwa ya viwanda alikuwa ana maana gani? Alikuwa anajuwa watu wana hela za kujenga viwanda?
 
Sasa alipokua anatoa ahadi kwenye kampeni kwamba Serikali yake itakuwa ya viwanda alikuwa ana maana gani? Alikuwa anajuwa watu wana hela za kujenga viwanda?
kama nilimwelewa vizuri alimaanisha kuwa serikali itajitahidi kuvutia uwekezaji katika viwanda na kutoa upendeleo wa ziada kwa watakaotaka kuwekeza katika sector hiyo. nadhani katika hilo serikali inajitahidi sana.
 
Baba mwenye nyumba huwa hakosolewi ila hupewa ushauri tu ..au wewe umewahi kumkosoa baba ako?
Baba mwenye nyumba hakupewa ridhaa ya kumiliki nyumba yake na wananchi kwa maana hiyo hawezi kukosolewa ILA huyu amepewa ridhaa na wananchi kwaiyo lazima asemwe tu..

Usifananishe baba mwenye nyumba na vitu vya kipuuzi
 
Wanafunzi kortini kwa kumkashifu Rais Magufuli



Wanafunzi wanne wa Chuo Kikuu cha Kampala(KIU) kampasi ya Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, kujibu shitaka la kusambaza picha za kumkashifu Rais John Magufuli kupitia mtandao wa kijamii wa WhatsApp.

Washitakiwa hao ni Amenitha Kongo(19), Maria Tweve (20), Agnes Gabriel(21) na Anne Mwansasu(21), ambapo wamepandishwa mahakamani hapo leo na kusomewa shtaka linalomkabili mbele ya Hakimu Mkazi Catherine Kiyoja.

Kwa pamoja washtakiwa hao wanadaiwa kuchapisha picha ambazo zinaonyesha Rais Magufuli akiwa amevaa hijabu kama mwanamke wa Kiislamu na kuzisambaza kwenye mtandao huo wa WhatsApp, huku wakijua kufanya hivyo ni kinyume cha sheria.

Washtakiwa wamerudishwa rumande baada ya kushindwa kitimiza masharti ya dhamana.


Chanzo: Mwananchi

Watoto wasio Na adabu toka kwao !
 
nimesoma comments zote, cha ajabu sijaona hata picha moja ya kashifa wala ya faru J...

hii ina maana somo limewaingia, msipotaka mtakwenda mkitaka mtakwenda pia...

kwenye hii vita anko magu hana cha kupoteza, ameajiri watu kushughulikia wahuni... vita hii ni ya watu dhidi ya wahuni, na hao wanafunzi ni wahuni...
 
Acha kulinganisha baba na urais, ili uwe baba kuna tendo unafanya na mwenzako wa jinsia tofauti na ili uwe rais kuna utaratibu unapitia kwa mujibu wa sheria, kwa hiyo baba na urais ni vitu viwili tofauti havipaswi kulinganishwa. Baba ataheshimiwa kwa mujibu wa mila zetu na desturi na rais ataheshimiwa kwa mujibu wa katiba na sheria zetu.
Una akili sana wewe, hongera
 
sasa serikali itajengaje viwanda? inawaandalia mazingira hao wasomi ili wawekeze kwenye viwanda, wao wanapoteza muda kwenye whatsapp kuzungusha picha za kijinga. serikali inatengeneza mazingira ya uwekezaji, dunia nzima kwa sasa hiyo ndo kazi ya serikali bob
Hao ndio wasomi wa mwendokasi. Mkubwa ana miaka 21 mdogo 19, badala ya kuweka akili kwenye masomo wanasambaza picha za kipuuzi.
 
Rais anakimbizana na vitu vidogo vidogo mwenzie Obama aliambiwa hata mke alienae si mwanamke bali ni mwanaume mwenzie na kujaribu kusapoti maneno yao kwa picha na kauli zake Obama kuwa kuna wakati huwa anamwita mkewe Michael lakini hakuwajibu. Huyu wa kwetu tulijua atakimbizana na mambo yenye tija imekuwa kinyume.
 
Back
Top Bottom