JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,509
- 7,532
Kwa mujibu wa yule aliyeokota urais, jibu ni NDIO.Hawa nao walikuwa wanakwapua pochi za wazungu na kuwafanya waogope kuja Tanzania?
Kwa mujibu wa yule aliyeokota urais, jibu ni NDIO.Hawa nao walikuwa wanakwapua pochi za wazungu na kuwafanya waogope kuja Tanzania?
Kwa wazima hawapo wa kuwabebea hizo bidhaa!?Kwa hiyo wanataka waishi bila kufuata sheria au? Kama waliweza kutoka huko walikotoka na kufika mjini wanaweza kurudi walikotoka na sina maana ya kuwabeza. Najuwa mahitaji yao tofauti lakini walifikishaje bidhaa zao mjini kwanza? Hakuna mtu aliyefukuzwa ni kwamba waende maeneo yaliyopangwa inatosha ile ya bajaji kupewa ruhusa kuingia mjini na wako wakajifanya walemavu na magongo kuingia mjini. miji lazima sheria zifuatwe hakuna exception.
Hawa walemvu waajiriwa ndio walioanzisha mabanda ya wamachinga, miaka mingi iliyopita serikali iliwaruhusu walemavu tu wafanye biashara barabarani lakini walemavu wakaajiriwa ili watumiwe kuweka biashara za wenye maduka, huo ndio ukawa mwanzo wa mabanda barabarani hivyo wanataka kuyarudisha kwa staili hiyo.Hii nchi ngumu sana aisee 🤣 🤣
UMEPATA MTAJI WA KISIASA NAONA HAPO MPELEKEE UBUYU ABUBAKARKumekucha
Kuna wakimbizi wa ndani pia.Hao UN wanahusika vipi na Mambo ya ndani wao si wanadili nawakimbizi
Acha roho mbaya ya waz waz mkuu..haikusaidiiKUNA VITU TUNAVIENDEKEZA TU KUNA MSEMO WAZUNGU WANASEMA DISABILITY NOT INABILITY
PIA SIDHANI KAMA KUTUMIA ULEMAVU KUJIDAI WANATETEA UMACHINGA KUKAA SEHEMU ISIYO SAHIHI NI SAWA
Kwani binadamu walemavu hawazai?Wapo kazini hao
Waache ujinga mbona nina kuku mlemavu wa mguu na anataga!!