Dar: Walemavu waliobomolea vibanda vya biashara waomba hifadhi UNHCR

Kwa hiyo wanataka waishi bila kufuata sheria au? Kama waliweza kutoka huko walikotoka na kufika mjini wanaweza kurudi walikotoka na sina maana ya kuwabeza. Najuwa mahitaji yao tofauti lakini walifikishaje bidhaa zao mjini kwanza? Hakuna mtu aliyefukuzwa ni kwamba waende maeneo yaliyopangwa inatosha ile ya bajaji kupewa ruhusa kuingia mjini na wako wakajifanya walemavu na magongo kuingia mjini. miji lazima sheria zifuatwe hakuna exception.
Kwa wazima hawapo wa kuwabebea hizo bidhaa!?
 
Hii nchi ngumu sana aisee 🤣 🤣
Hawa walemvu waajiriwa ndio walioanzisha mabanda ya wamachinga, miaka mingi iliyopita serikali iliwaruhusu walemavu tu wafanye biashara barabarani lakini walemavu wakaajiriwa ili watumiwe kuweka biashara za wenye maduka, huo ndio ukawa mwanzo wa mabanda barabarani hivyo wanataka kuyarudisha kwa staili hiyo.
 
Wapo kazini hao

Waache ujinga mbona nina kuku mlemavu wa mguu na anataga!!
 
KUNA VITU TUNAVIENDEKEZA TU KUNA MSEMO WAZUNGU WANASEMA DISABILITY NOT INABILITY

PIA SIDHANI KAMA KUTUMIA ULEMAVU KUJIDAI WANATETEA UMACHINGA KUKAA SEHEMU ISIYO SAHIHI NI SAWA
Acha roho mbaya ya waz waz mkuu..haikusaidii
 
Back
Top Bottom