Kwani wewe unayaona matambiko hayafai?Kwa akili duni ya mtu mweusi,hapo wataanza kufanya matambiko na kutozingatia ushauri wa kitaalamu.
Kwani wewe unayaona matambiko hayafai?Kwa akili duni ya mtu mweusi,hapo wataanza kufanya matambiko na kutozingatia ushauri wa kitaalamu.
Mkuu hiki ulichoandika ni nini!?View attachment 1632949
Volkano za matope ni miundo ya uso iliyoundwa na mlipuko wa matope kutoka kwa uso mdogo. mifano ya kawaida. mlipuko wa kawaida ni mchanga mzuri wa mchanga, maji, na gesi, CO2 na methane. Vipande vya mwamba wa nchi pia wakati mwingine huingia ndani. Zinatoka saizi kutoka <1 m, kawaida ya volkano za matope zilizoundwa na kuyeyuka kwa kina kirefu, hadi kwenye majengo ambayo ni ya urefu wa mita mia chache au hupanuka baadaye kwa zaidi ya kilomita 1. Milipuko mikubwa huleta matope kwa uso kutoka kwa kina kinachozidi zaidi ya kilomita 1 .Katika sura hii tunazingatia milipuko mikubwa; Milipuko midogo inayotokana na uso mdogo kabisa ni dhihirisho la kimiminika cha 'jadi'.
Umebadilika sana siku hizi, au umekosa udiwani ndugu? 😀Kweli Tanzania nchi ya ki-communist, yaani Viwanja vyote ni mali ya Serikali ? Serikali inaamua tu kutoa viwanja kama sadaka na siyo kununua ? Bila ya kubadilisha huu mfumo (kwa uangalifu mkubwa lakini) kuendelea ni ngumu sana, binafsi siwezi kuwekeza mabilioni kama ninayo kama siwezi kumiliki chochote, hilo eneo sio mali yangu ndiyo maana yake, nchi za ki-capitalist unamiliki ardhi mpaka hata chote kilicho chini ya ardhi yako, kama madini au mafuta ni yako maadamu kiwanja ni chako.
Long Live Capitalism !
Mkuu hiki ulichoandika ni nini!?
Au ni google translator!?
Haieleweki mkuu... Yani haieleweki kabisaa..Kitaalamu sio lugha ya mtaa
Jangwani magomeni DarJangwa la wapi bwashee?
Kwahiyo Jangwani Magomeni Dar ni mahali pakame?We nawe, ndio wale wale, jangwani ni mahali pakame hakuna mvua, nimejenga kwenye mkondo wa maji, ni njia ya maji ya iliyopo chini ya ardhi. Hizi njia ni kama mito, sometimes mito huwa inahama, na kuibukia pengine sometimes inapotea njia na kusambaa.
Watu wa uzwazi kwenye vyoo vya shimo, wanayajua sana haya mambo ya water table, ikipanda, vyoo vinafurika na kutapishwa!.
hilo tope ni kama mashimo ya choo yanatapika due to underground water table kupanda.
P
Hata Uingereza ardhi ni mali ya serikali.Kweli Tanzania nchi ya ki-communist, yaani Viwanja vyote ni mali ya Serikali ? Serikali inaamua tu kutoa viwanja kama sadaka na siyo kununua ? Bila ya kubadilisha huu mfumo (kwa uangalifu mkubwa lakini) kuendelea ni ngumu sana, binafsi siwezi kuwekeza mabilioni kama ninayo kama siwezi kumiliki chochote, hilo eneo sio mali yangu ndiyo maana yake, nchi za ki-capitalist unamiliki ardhi mpaka hata chote kilicho chini ya ardhi yako, kama madini au mafuta ni yako maadamu kiwanja ni chako.
Long Live Capitalism !
Mkaushie, karopoka tuwewe ni geologist au petroleum engineer. ?
Unajua jinsi mafuta yanapatikana ?
Siyo laxima mleta post aweke picha,mbo sakata la tope kunduchi limetanfazwa sana,Weka picha na maelezo yakutosha basi jombii wengine ndio tunasikia hii kitu leo
yaani hayo mashimo tumeomba picha mpaka basi
lete picha maneno weka siasani.Picha ya nini?? au wewe ni geologist??