MWALLA
JF-Expert Member
- Dec 12, 2006
- 16,992
- 10,497
Nawasiwasi hiyo mimba ya hawara yako sijui uliingizaje nakushauri ukibahatika kujifungua ukapime (DNN) oopsDNAWasiachiwe hao wapelekwe Mahabusu mpaka demu wangu ajifungue!
Nawasiwasi hiyo mimba ya hawara yako sijui uliingizaje nakushauri ukibahatika kujifungua ukapime (DNN) oopsDNAWasiachiwe hao wapelekwe Mahabusu mpaka demu wangu ajifungue!
Kwa maana hiyo wao sio watanzania?Hao ndo wachafuzi wa Amani ya Nchi hii kwa urafi wao wa kutaka kuchukua nchi.Kilimanjaro na Arusha ni watu hatari kuwakabidhi nchi hao
Wakolomije ndio wanahatarisha amani ya nchi. Mbowe yupo miaka mingi kwenye siasa na hajawahi kuchafua hiyo "amani", ila hao wakolomije wana miaka miwili na nusu tu tayari wameruka kila aina ya sarakasi na wanaichezea hiyo "amani" bila kujali, wao kipaombele chao ni "kusifiwa"Hao ndo wachafuzi wa Amani ya Nchi hii kwa urafi wao wa kutaka kuchukua nchi.Kilimanjaro na Arusha ni watu hatari kuwakabidhi nchi hao
Mimi sitokei kanda hiyo, lakin sio vixur kumchumbua mtu au kikundi kwa ukanda wakeHao ndo wachafuzi wa Amani ya Nchi hii kwa urafi wao wa kutaka kuchukua nchi.Kilimanjaro na Arusha ni watu hatari kuwakabidhi nchi hao
Mashamba ya mkonge yanakuhusu bahati mbaya Mwal. Nyerere aliwapeleka shule. Angalia tofauti ya vijiji vya hiyo mikoa na vya asili yakoHao ndo wachafuzi wa Amani ya Nchi hii kwa urafi wao wa kutaka kuchukua nchi.Kilimanjaro na Arusha ni watu hatari kuwakabidhi nchi hao
Kabisa mkuu , ikifika zamu yao akina jiwe na kundi lake tusisikie mayowe .Sheria ni msumeno
Ile hotuba ya kuzungumzia hali ya magereza imeota mbawa
Kilimanjaro na arusha n mingoni mwa mikoa ambayo watu wake wanaishi maisha bora kwa mujibu wa takwimu za wizara ya fedhaHao ndo wachafuzi wa Amani ya Nchi hii kwa urafi wao wa kutaka kuchukua nchi.Kilimanjaro na Arusha ni watu hatari kuwakabidhi nchi hao
akili kuhamia makalion n shidaWasiachiwe hao wapelekwe Mahabusu mpaka demu wangu ajifungue!
c wamepiga kitabu na hela wanazijua?Wachàga mtasubiri sana kwenye hii nchi mna ukabila ambao mnashindwa kuuficha tunao hata huku makazini tunawachora tu.