Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

Majina yaliyoandikwa kwenye hiyo karatasi, hakuna mwandiko uliojirudia. Inawezekana mojawapo ya mambo mawili limetokea; ama Kassim Mshamu alisaini halafu akaondoka ukumbini, au kuna mtu asiyekuwa mjumbe alikuwamo ukumbini kinyume cha taratibu akasaini jina hilo huku akijua Kassimu hayupo.

 
Jina sahihi la kuwaita CCM ni WAHUNI.
Hiki chama kinafanya mambo ya kihuni bila hata aibu hasa siku hizi. Wakati wa JK vitendo vya ulaghai vilikuwepo lakini ilikuwa kwa staha na akili kubwa sio KISHAMBA namna hii.
Nadhani mzee Kinana na vijana wake walikuwa sahihi kwenye Yale mazungumzo yaliyo dukuliwa.
Mzee Kinana,Nape January Makamba...sio washamba hata kidogo.
 
Kama wanaweza kufanya hivi hawatashindwa kubadili katiba ili jitu lile liendelee kukaa pale mahali patakatifu. Hakuna kingine ninachokuombea jiwe zaidi ya kifo cha ghafla.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
video iko hapo juu
Mmoja wa bk7 huyu

Ova
IMG-20200110-WA0003.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom