Anaitwa jinga laoHuyo Mkurugenzi anaitwa nani. Mama Hana hata aibu, jinga kabisa
Anaitwa jinga laoHuyo Mkurugenzi anaitwa nani. Mama Hana hata aibu, jinga kabisa
Mzee Kinana,Nape January Makamba...sio washamba hata kidogo.Jina sahihi la kuwaita CCM ni WAHUNI.
Hiki chama kinafanya mambo ya kihuni bila hata aibu hasa siku hizi. Wakati wa JK vitendo vya ulaghai vilikuwepo lakini ilikuwa kwa staha na akili kubwa sio KISHAMBA namna hii.
Nadhani mzee Kinana na vijana wake walikuwa sahihi kwenye Yale mazungumzo yaliyo dukuliwa.
Eti kwa huo uhuni aliouonesha kwenye picha hiyo sasa ni waziri na wapo wanaomfagilia wakidai ana sifa za urais baada ya jiwe, what? Hivi hawa jamaa wamelogwa au ni laana baada ya kuligeuza taifa hili shamba la bibi?anaitwa Jaffo
Majina yaliyoandikwa kwenye hiyo karatasi, hakuna mwandiko uliojirudia. Inawezekana mojawapo ya mambo mawili limetokea; ama Kassim Mshamu alisaini halafu akaondoka ukumbini, au kuna mtu asiyekuwa mjumbe alikuwamo ukumbini kinyume cha taratibu akasaini jina hilo huku akijua Kassimu hayupo.
Anaweza kuachiwa Ukuu wa Mkoa halafu Kifutu akabaki na cheo chake cha Naibu RaisiHahaha atakuwa nani sasa maana Makonda ni mkuu wa mkoa tayari?!
😆😆😆Anaweza kuachiwa Ukuu wa Mkoa halafu Kifutu akabaki na cheo chake cha Naibu Raisi
Lolote linawezekanaAnaweza kuachiwa Ukuu wa Mkoa halafu Kifutu akabaki na cheo chake cha Naibu Raisi
Wanunuzi wa ndege hawaishiwi viojaAmedhalilika mchana kweupe. Hii ni baada ya kufoji jina ili apate akidi ya kutosha kumuondoa Meya halali Mh Isaya Mwita ili kuisaidia CCM kwa maelekezo ya Makonda.
View attachment 1317369
View attachment 1317357
Awamu hii ni ya ajabu haijapata kutokeaNchi hii kufanya kazi na serikali ya Magufuli ujitoe kwanza ufahamu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mama "****" kweli. Eti leta nimfute.Amedhalilika mchana kweupe. Hii ni baada ya kufoji jina ili apate akidi ya kutosha kumuondoa Meya halali Mh Isaya Mwita ili kuisaidia CCM kwa maelekezo ya Makonda.
View attachment 1317369
View attachment 1317357
😆😆😆😆Huyu mama "****" kweli. Eti leta nimfute.
mbona kafanana na Polepole ?