Elections 2010 Dar vipi mbona kimya

Challenger M

Member
Oct 31, 2010
81
2
Jamani mbona hatupati matokeo ya Dar hasa Ilala kimyaaa wenzetu Zenj wameshamaliza. Au wanataka kuvuruga amani:A S cry::A S cry:
 
:tape:Jamani Temeke sijasikia kulikoni?
au wanaendelea na maandalizi ya uchakachuaji????
 
Dar hakuna hata jimbo moja ambalo tumetangaziwa matokeo rasmi, ukiacha diwani wa Mwananymala na Tandika
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom