CT SCan Mchina
JF-Expert Member
- Mar 13, 2013
- 1,311
- 285
UNAFIKI Wa Wakazi wa Dar es Salaam Nimeugundua leo.
Sasa sielewi ni kutokana na wakazi WENGI kuhama maeneo husika (wakazi wengi wa Dar Ni wapangaji) .? Au Kuwepo kwa Watu ambao ni wapya na WALE waliotimiza Umri wa Kupiga Kura ila TOKEA 2010 hawakuandikishwa kwa UNAFIKI wa TUME ?
#NIMESIKITIKA KUONA HALI HII HAPA DAR.
Sasa sielewi ni kutokana na wakazi WENGI kuhama maeneo husika (wakazi wengi wa Dar Ni wapangaji) .? Au Kuwepo kwa Watu ambao ni wapya na WALE waliotimiza Umri wa Kupiga Kura ila TOKEA 2010 hawakuandikishwa kwa UNAFIKI wa TUME ?
#NIMESIKITIKA KUONA HALI HII HAPA DAR.