Dar to start Petroleum Exploitation in 2012

Licha ya refineries kujengwa, ni kuhakikisha serikali iliyomadarakani inawajibika kwa wananchi na inatokomeza ufisadi, hivyo ni muhimu madaraka ya rais yapunguzwe kikatiba. Bila kutokomeza ama kudhibiti ufisadi mafuta yatatuletea balaa tupu.
Serikali iwajibike na iwe na good policies to promote better services to its people and to promote internal/external investment oportunities ili kila raia aweze faidika na mafuta directly ama indirectly.
Mgawo wa mapato ya mafuta kwa serikali ya Visiwani na Bara utaleta ugomvi zaidi, kama mafuta kweli yapo na tunataka kufanya kweli basi bara na visiwani iwe nchi moja yenye srikali moja.
 
lakini kaka kale "kamtambo kalikuwa ni learning experience" kwa wataalamu wetu!! isitoshe less than 1 perc is better then nothing(hapo ni ktk kila angles including ajira).

well, bottomline hapa tunahitaji refinery capability........mie nitalia na hilo moja tu!!.

....hope watajenga hiyo refinery ili kukamata market yote ya Great lakes but will never happen,sasa najua Bush alikuja kwa ajiri ya hayo mafuta tuu na hakuna kingine,smarta$$ Americans wako mbele dakika kumi na washajua kila kitu mpaka siku yatakapoanza kuchimbwa na atakaye leta story za kipuuzi ajue fate ya Saddam ni haki yake
 
Hivi mkataba wetu na hayo makampuni yanayofanya exploration ukoje? Isije kuwa ni kama Buzwagi?
 
I wish i could say this, "Please Don't touch it". Up to this moment Tanzania is struggling in variety of things. We doesn't have strong leadership which will overseas all this resources.

Nigeria wanamatatizo ya corruption and over populated, lakini Tanzania ni tofauti tuna corruption, high number of uneducated citizens and big government with less responsibility.

Naunga na msemaji aliyesema tusichimbe hiyo gas mpaka tubadilishe katiba, na kupunguza majukumu ya raisi. Rais wetu anamajukumu mengi, which i believe some of decision anazifanya Rweiymamu sababu JK hawezi due to time factor.
 
Mafuta yakiwa harnessed properly bila mafisadi kutupiga changa la macho kama kwenye madini mafuta yanaweza kutupunguzia umaskini.
Ila ilo deal likianguka mikonono mwa the so called Rich-Mon tumeumia na tutaanza kupigana kama Nigeria na kwingineko.

Na hasa kwa viongozi tulionao sasa kazi ipo kama tutaambulia chocohote kile.
 
Kuwa na mafuta ni kitu kizuri kwa taifa letu, lakini kama wachangiaji hapo juu, from our kapriensi, this is sure recipe for disaster. Hivi tusiende mbali hii dhahabu tuu ambayo inachimbwa leo, what would happen kama ingekuwa ni win-win deal kwa wananchi na wawekezaji?

I say, kwanza tunge-strengthen utawala wa sheria katika nchi yetu, viongozi wakawa accountable kwa maamuzi yao, mtu akicheza na mali ya umma anawajibishwa, leo tusingekuwa na akina Mwanyika na Hosea wanatuchezea akili watu wazima. Lakini as long as vyombo vya kuwawajibisha wakosaji viko chini ya wakosaji, tusitegemee miujiza.. Na hili ni jukumu la wananchi wote! Everybody should play his/her part. By the way, usishangae wazee wameshasaini mikataba ya kina Mangungo na Karl Peters, mda wa mda ukifika tutaambiwa mwekezaji huyo!!!

Nigeria ni mfano mbaya sana kwa nchi zetu za kiafrika. All over Africa, natural resources has caused more misery than opportunities for its people. Na mifano ni hapa hapa home, uchimbaji wa madini umebadilisha maisha ya watu in anyway? Aise kweli kwa hili la natural resources,kutusaidia waafrika kujikomboa, hapana nadhani tunahitaji vitu mbadala! we jiulize Sierra Leone leo nusu ya nchi ni vilema..wamekatwa mikono, masikio kwa ajili ya dhahabu ambayo wengine hawajawahi kuiona wala kuishika! Nigeria, the same stories, Congo....Mi nadhani hizi natural resources tuachane nazo tutafute vingine mbadala..Maana kutusaidia havitusaidii, tunazidi kuwa maskini na wananchi wenzetu wanakufa! is it worthy it?

Sijui kwa nini sisi waafrika ni wagumu wa kuelewa na wapesi kusahau!
 
koba,
uli angalia bush's press conference leo asubuhi? nipo interested na nini alichosema juu ya refineries kama factor ktk bei ya wese kuwa juu hapa USA...........hawajajenga new refineries for the last 30 yrs!! imekaa dizaini ya "not in my back yard"!!!!

sisi hatuna hilo tatizo, kiasi kwamba kukosa refinery capability hata kwa sasa hivi ni wazimu!....kama nilivyosema huko juu, mie nalia na refinery!!.
 
Mbona watu mnapenda kulinganisha Tanzania na nchi zingine za kiAfrika kama Nigeria pale inapokuja kwenye matumizi ya mali ghafi. Kuna nchi zimefanya mambo mengi kwa kutumia malighafi zao na mojawapo ni Botswana.

Ngoja ninukuu maneno ya Sheik Yemani, Legendary Saudi Oil Minister in 1973.

The Stone Age didn’t end because of a shortage of stones: the oil age won't end because of a shortage of oil.

Kwa maneno mengi mababu zetu hawakuasha kutumia mawe kama zana zao kwa sababu ya ukosefu wa mawe. Waliacha kutumia mawe kwa sababu matumizi ya bronze, chuma na moto yaliwawezesha kutengeneza zana zilizo bora kuliko mawe.

Teknologia ya kutumia mafuta imefikia ukingoni ingawaje bei yake kwa sasa ni ya juu. Hivyo mnaopinga kuchimba sasa, mjue kuwa yatabaki huko chini bila matumizi yoyote.

Pamoja na rushwa na uongozi mbovu uliopo sasa ni afadhari kuanza sasa kuliko kusubiri siku zinazokuja. Vilevile makosa yanayofanyika sasa na viongozi wetu yanafichua ubovu uliopo kwenye jamii zetu. Na kusubiri tupate watakatifu, hakusaidia chochote kwa sababu nchi ni lazima i-navigate kutoka kwenye matatizo yake huku shughuli zikiendelea na sio kusubiri mpaka watakatifu wazaliwe.
 
Aminex Announces Gas Discovery in Tanzania
Monday, March 17, 2008


Aminex PLC announces a successful result from the drilling of Kiliwani North -1 (“KN-1”), offshore Tanzania in the Nyuni/East Songo-Songo licence area.

KN-1 has intersected a substantial gas column in Lower Cretaceous sandstones, the same reservoir that produces gas commercially in the neighbouring Songo-Songo gas field. Electric logging has been completed and formation pressures taken which confirm the presence of gas over a gross interval of approximately sixty metres. This vertical well was drilled to a depth of 2030 metres (6,687 ft), ahead of schedule.

KN-1 will now be completed as a gas production well pending hook-up for production and a test will be conducted to determine flow capacity and reservoir properties. Further appraisal drilling will be required to define the extent of this discovery.

Preliminary evaluation indicates a gas-water contact approximately 30 metres deeper than at the adjacent Songo-Songo Gas field. This is a positive outcome for the potential of other exploration prospects and leads in the Nyuni licence area. This deeper gas-water contact demonstrates that the KN-1 discovery is in a separate structure to the Songo-Songo field and this further enhances the prospectivity of the remaining leads and prospects within the Nyuni licence.

KN-1 also encountered minor oil shows in the Neocomian reservoir section, as well as confirming the presence of potential reservoirs in the Tertiary section at an earlier stage in the well.

The Nyuni/East Songo-Songo licence is only one component of Aminex’s acreage portfolio in East Africa, which includes the highly prospective Ruvuma Basin area of Tanzania as well as large acreage positions in Madagascar and Kenya, on all of which new seismic has now been acquired. In addition, Aminex is currently participating in the Malak-1 exploration well in the West esh el Mellahah concession in Egypt, which spudded on 25 February and is drilling ahead on schedule.

Aminex chairman Brian Hall commented: “We are now seeing the first real fruits of our work on the East African margin over several years. Our exploration team has long believed in the potential of this area, both for oil and gas. KN-1 is a totally new, deep structure which opens up several avenues for further exploration on the licence and strengthens the case for oil on the East African margin. This frontier area, where we were an early pioneer, is now the subject of strong industry interest. Credit is due to our explorationists and operations personnel, as well as to our JV partners who have made a strong technical input to this project and to TPDC (Tanzanian national oil company) and the Tanzanian Ministry who have provided invaluable cooperation from the outset.”

Partners in the well are:
Ndovu Resources Ltd. (Aminex subsidiary and operator) 40%
RAK Gas Commission 25%
Key Petroleum Ltd. 20%
East African Exploration Ltd. 10%
Bounty Oil & Gas Ltd. 5%
 
Hayo mafuta ya 2012 yapo wapi? Nimeyatafuta kwa darubini katika bandiko hilo chini sikuyaona!!!

Au hiki kimombo kinazidi kunipiga chenga siku hizi?
 
KWANZA KABISA MWENYE NYUZI(THREAD) NENO NI EXPLORATION SIO EXPLOITATION...msinifanye nirudi darasani nikachukue chaki na ubao!

Haya tuendelee na mada.
Jamani don't get too excited maana ulimwengu unaenda ukichenchi.Si mnajua sasa kuna kelele na hawa environmentalists kuhusu ozone layer na mambo ya pollution? Kwa ufupi ulimwengu wa leo ukisema u have discovered oil si kama zamani.Osama kesha haribu soko maana wamarekani dont wanna be tied to the Middle East Oil baada ya visanga vya September 11.
Nataka tutafakari kuhusu madini ya copper kidogo.Kumbukeni Zambia was and is the leading exporter of copper...lakini wa-Jap walifanya nini?They came and mined that isshh in thousands of tonnes na wakazitundika kwao for a duration of time.Walipomaliza shughuli za kufua madini ya copper waka-cause a fake shortage of copper..kisha waka-flood the market na copper ika lose value yake.
My thing is hawa ma-capitalist cannot be trusted at all costs especially kama hawato-benefit.Hizi ni akili za madingi wetu but guess what...it still holds true for us the new generation!Hata kama tutapata mafuta kuna mambo na kuset-up refineries ambazo wana-control wao.Kisha kuna mambo na waarabu kutuamini pindi tuingiapo OPEC...yaani ukanda mrefu kabla hatujaanza kusherekea!

Nakumbuka Kenya walikua na hizi nderemo kama miaka kumi iliyopita hadi leo.Sijui wa-Misri walikuja wakawabishia eti mafuta yenyewe yako on the tectonic plate that Egypt lies on...kutoka hapo ikawa kasheshe...Moi akaogopa kufuatilia zaidi.

Kwa hivyo tusherehekee wabongo but lets be careful na tusiwaamini hawa watu on face value!!!!

Naomba kuwasilisha.
 
Hii ni habari njema - la muhimu ni kutambua kuwa rasilimali yeyote ikiwa haikutumika kuiendeleza jamii husika haina faida, bora yakae huko huko ardhini, rasilimali zote inafikia wakati zinamalizika kwa hivyo unapoitumia ni lazima kuwe na kumbukumbu inayoonekana kuwa uliitumiaje.

Angalia Oman sasa hivi kiwango cha uchimbaji wa mafuta kimeshuka lakini walitumia mtaji huo kujinasua kutoka katika ufukara na wanaweza kusema rasilimali yetu tuliitumia hivi na hivi.
 
Dar es Salaam - A confirmation of the data now being acquired in off-shore Tanzania has shown that it is possible that commercial production of petroleum oil and gas could be achieved as early as 2012.

According to Dr. Philip Nelson, the Director E&P, Petrodel Resources Limited (PRL) with licences in Latham and Kimbiji there have been signs of "flat spots' and "bright spots" which are widespread in the seismic data from Nigeria's Niger Delta, where they are fundamental to the discovery, development, and production of oil and gas
 
I don't want this to happen OIL and GAS is a CURSE we have started fighting about our religion now - Nyerere was RIGHT
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom