Licha ya refineries kujengwa, ni kuhakikisha serikali iliyomadarakani inawajibika kwa wananchi na inatokomeza ufisadi, hivyo ni muhimu madaraka ya rais yapunguzwe kikatiba. Bila kutokomeza ama kudhibiti ufisadi mafuta yatatuletea balaa tupu.
Serikali iwajibike na iwe na good policies to promote better services to its people and to promote internal/external investment oportunities ili kila raia aweze faidika na mafuta directly ama indirectly.
Mgawo wa mapato ya mafuta kwa serikali ya Visiwani na Bara utaleta ugomvi zaidi, kama mafuta kweli yapo na tunataka kufanya kweli basi bara na visiwani iwe nchi moja yenye srikali moja.
Serikali iwajibike na iwe na good policies to promote better services to its people and to promote internal/external investment oportunities ili kila raia aweze faidika na mafuta directly ama indirectly.
Mgawo wa mapato ya mafuta kwa serikali ya Visiwani na Bara utaleta ugomvi zaidi, kama mafuta kweli yapo na tunataka kufanya kweli basi bara na visiwani iwe nchi moja yenye srikali moja.