Dar Tambarare: Mvua, mafuriko na Usahaulifu!

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,790
288,007
RAINING CATS AND DOGS: This was the scene at Dar es Salaam`s central business district yesterday after a sudden heavy downpour caused continuous floods and traffic jams throughout the day.

Morani75 said:
Wakuu, mnajua kuna mvua imenyesha leo hapa mjini kwa kweli sio utani, imeonyesha jinsi gani tuna matatizo mengi zaidi ya hata tunavyojifikiria..... Wenzetu wakifikiria kujenga "space shuttles" etc sisi inabidi turudi darasani na kujaribu kujenga mitaro ya maji ya mvua, storm water systems. Kwa kweli pamoja na kwamba inatia aibu, ni hatari sana na hasara ni nyingi kutokana na mvua hapa kwetu... Imagine that is Dar es Salaam, je Lindi na mikoa mingine???

Hebu angalia hizi picha toka Michuzi Blog!!

2%5B1%5D.JPG

mdau mkama katuletea hizi taswira za mafuriko nyuma ya alpha house

3%5B2%5D.JPG

IMG_8750.JPG

mc kessy alikuwa millenium towers kijitonyama wakati wa gharika hii

IMG_8751.JPG


IMG_8748.JPG


IMG_8747.JPG


IMG_8749.JPG
IMG_8752.JPG

3.JPG
2.JPG

mdau teijan alikuwa katikati ya jiji na kujionea dhahama hii

1.JPG

hii ni kutokana na udogo wa mifereji ya maji na pia kuziba kwa mifereji hiyo na kutohgudumiwa.

 
Last edited by a moderator:
Fundi Mchundo & Morani75,

....wazee vipi kulikoni haya matatizo ya mafuriko

Mifereji ya maji machafu ya mwaka 1927, viongozi wako busy kuifisadi nchi wakati Dar inazidi kuharibika
 
jamani najua kuna kampuni moja ilikuwa bize kutengeneza miundo mbinu hasa ile ya kupitisha maji machafu na yale ya mvua. tumeona na kusoma mara nyingi kwenye magazet na TV watu wa dar es salaam wakimlalamikia huyo mkandarasi eti anaharibu barabara wakati anaweka mifereji yake bila kuzirudishia... Ina maana hata wao wamechemsaha??? aue walikuwa wanafanya nini ?
 
Bubu,
Hii ndiyo tanzania na wewe ndiyo mtanzania, angalia leo utapiga kelele huenda wakakusikia, lakini ukinyamaza tuu!! Da!!!1 mara wamelala.

Kwa kweli bado serikali yetu haijaamua kuwa makini na hali hii, usisahau kuna mengi magumu wanawaumiza vichwa, sasa haya mafuriko siyo sehemu yao kwa sasa

Nadhani kwa sasa waambie wajipange kwa badget June haya ya mafuriko yaache kwanza
 
Fundi Mchundo & Morani75,

....wazee vipi kulikoni haya matatizo ya mafuriko

jamani najua kuna kampuni moja ilikuwa bize kutengeneza miundo mbinu hasa ile ya kupitisha maji machafu na yale ya mvua. tumeona na kusoma mara nyingi kwenye magazet na TV watu wa dar es salaam wakimlalamikia huyo mkandarasi eti anaharibu barabara wakati anaweka mifereji yake bila kuzirudishia... Ina maana hata wao wamechemsaha??? aue walikuwa wanafanya nini ?

Ogah, unajua kwa kweli sio siri hapo la kusema mafundi mchundo kama sisi imebidi tutulie kuanza kufanya mambi Mola atuepushe na dhari hili..... Mimi hapa nilipo hoi baada ya ka saloon kangu kunigomea jana usiku pale TMJ, kaaz kweli kweli......

Kama alivyosema Mkuu Pherena hapo juu nazidi kushangaa wale waChina walikuwa busy kule mjini with the so-called new drainage system imekuwaje tena!!! Jamaa nakumbuka tuliambiwa kuwa wanakuja na system yenye "Retention tanks" kwa ajili ya ku-cater for flash rains kisha inarelease slowly along the underground piping system away to the ocean!!! Well sijui mchawi hapa ni mhandisi au kandarasi sababu naona mambo yamekuwa kimya na hakuna anayesema!!!

So wakuu, nasi nadhani itabidi tujiunge na club ya kusema "Mungu atatusaidia" manake no technical justification can be provide in such a clear cut case - Drainage ya Dar City with access to the ocean at a maximum of 1km at any flooded point!!!
 
Pesa za Vita Comoro wanazolakini kutengeneza drainage system pesa hawana

says alot about watawala wetu
 
yaani nashindwa kuamini kwamba hili tatizo la floods limetushinda!!!!!

Morani 75/Fundi Mchundo,

Sina hakika kama "DEEP WELLS" zimeshawahi kujaribiwa pale Dar............trust me sikuamini macho yangu jinsi hizi deep wells zinavyo drain flood water................

advantage yake nyingine deep wells zinaweza kutumika kama source ya maji kwa FIRE department

Hizo underground detention tanks........mmhh!!
 
Pesa za Vita Comoro wanazolakini kutengeneza drainage system pesa hawana

says alot about watawala wetu

Game message yako ilikuwa nzuri lakini kusema pesa zilizotumika commoro ndiyo zilikuwa za drainage hapo dar sio kweli kama utakuwa makini na utaratibu wa AU nikwamba nchi zote wanachama huwajibika kuchangia na ndivyo ilivyokuwa, nadhani ingetosha kwa kurefer fedha zilizochotwa na mafisadi.
 
Game message yako ilikuwa nzuri lakini kusema pesa zilizotumika commoro ndiyo zilikuwa za drainage hapo dar sio kweli kama utakuwa makini na utaratibu wa AU nikwamba nchi zote wanachama huwajibika kuchangia na ndivyo ilivyokuwa, nadhani ingetosha kwa kurefer fedha zilizochotwa na mafisadi.

GT hakumaanisha hivyo, bali alichotaka kuonyesha ni jinsi vipaumbele vya SIRIKALI vilivyokaa kiajabuajabu. Walikuwa na pesa za kuivamia Comoro lakini wakati huo huo hawana pesa za kushughulikia hili tatizo kubwa sana kuhusiana na mifereji ya maji machafu
 
Game message yako ilikuwa nzuri lakini kusema pesa zilizotumika commoro ndiyo zilikuwa za drainage hapo dar sio kweli kama utakuwa makini na utaratibu wa AU nikwamba nchi zote wanachama huwajibika kuchangia na ndivyo ilivyokuwa, nadhani ingetosha kwa kurefer fedha zilizochotwa na mafisadi.

alaaa inaelekea wewe unajuaa sana kuhusu funding ya ile vita

hebu nijibu:

KIKAO CHA KUPITISHA HIYO VITA KILIKUTANA LINI?

AZIMIO NAMBA NGAPI LA AU LILIPPITISHA HIYO INVASION

NCHI NGAPI ZILIPIGA KURA

ZIPI ZILI ABSTAIN


ZIPI ZILIKUBALI

ZIPI ZILIKATAA

KWA SABABU GANI

FUNDING ILIAMULIWA ITAHITAJIKA NI KIASI GANI

KUTOKA WAPI/FUNGU LIPI?

NA ZILITOLEWA KIASI GANI KUPEWA TANZANIA

then ukishanijibu maswali hayo tutajua kama watawala wako wanakuambia ukweli au wanakuongopea




 
GT kwa kukaba watu makoo....duuh, sikuwezi bana....yaani hapo juu umeacha no angle ya kufurukuta.... lol
 
There comes an outbreak of Kipindupindu, Malaria, African flu, Pnemonia, Kichocho which transalates to a slow down on production, productivity and economy, which results to more medical needs and due to shortages of proper medicine and adequate medical facility, one can count several deaths.

After the natural dry system, using sun, another problem arises. The rain, ruined and erroded most of the roads, madimbwi wil increase and become marshland, mashimo barabarani, barabara kupasuka, madereva kuendesha magari hovyo na kuharibu barabara na mazingira, wakipitisha vi-saluni vyao kwenye korongo, a car break down, which translates to more importation of spare parts to fix the broken car or purchasing a VX to sustain the bad roads which equates to gas guzzling vehicles and prices of everything going up.

Guess what more forex being used to purchase unnecessary things than using the idy bidy monies to built better infrastructure, develop and elevate our education and health system to generate watu wenye afya, juhudi na maarifa!

All this could be avoided if a competent person would have been awarded the contract and a competent government would have supervised the entire process.

The best thing out of this garika ni ranking ya Tanzania FIFA kushuka kwa kuwa "uwanja koko na manyasi ya katani na plastiki" umedoda, hakuna natural or artificial drainage system built to drain rain water above the udongo mfinyanzi, limestone or whatever the heck is beneath kapeti la majani bandia.

Blame the Chinese, who we are about to hand our Airport in Dar for upgrades and better services!
 
.... Rev. you have unleashed the four horsemen once again!!!

Mtani Ngosha,

I am trying to difuse the argument of my great Mtani Ngosha the Chief Nyani Ngabu kuwa ndivyo tulivyo. Mkandara keshanikoromea kule kwenye hoja ya Ujinga wa Mtanzania na hukojuko Fundi Mchundo kanivua Kanzu na Rosari hadharani na kuumbua hekima za kiuchungaji!

Sasa Bin Maryam na Mtanzania wakiingilia kati na kunisakama, inabidi niikatae kutoa shavu la pili, Sivyo tulivyo.. my name is Kunta ...Kunta Kinte, mpaka Masah achoke kunishuritisha nikubali kuitwa Tobby.
 
mapajero a landrover yanapita hapo bila wasi wasi, sasa shida gani mwa viongozi? wache wale
 
Back
Top Bottom