Dar: Taa za barabarani ziwekewe saa kuepusha unyanyasaji wa Polisi

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,890
Habari wakuu,

Taa za barabarani zimekuwa kitegauchumi cha Polisi. Kila siku watu wanatozwa faini kwamba amepita na taa nyekundu.

Ukweli ni kwamba hizi taa saa singine hazieleweki hasa taa za dar. Unaweza kuta taa haziwaki au inawaka kijani tu au nyekundu au zote zinawaka na kuzima kwa pamoja.

Askari wetu wanatumia mwanya huo kunyanyasa wenye Madreva wetu.

Sasa imefika wakati tutumie saa ya kwenye taa za barabani kuondoa utata.

Naamini tukiwekewa traffic light timer (saa za kwenye taa za barabarani) zitaondoa utata wa kuwahi taa ya kijani, njano au nyekundu.
FB_IMG_1525970304467.jpg
FB_IMG_1525970292882.jpg
images(37).jpg
 
Habari wakuu,

Taa za barabarani zimekuwa kitegauchumi cha Polisi. Kila siku watu wanatozwa faini kwamba amepita na taa nyekundu.

Ukweli ni kwamba hizi taa saa singine hazieleweki hasa taa za dar. Unaweza kuta taa haziwaki au inawaka kijani tu au nyekundu au zote zinawaka na kuzima kwa pamoja.

Askari wetu wanatumia mwanya huo kunyanyasa wenye Madreva wetu.

Sasa imefika wakati tutumie saa ya kwenye taa za barabani kuondoa utata.

Naamini tukiwekewa traffic light timer (saa za kwenye taa za barabarani) zitaondoa utata wa kuwahi taa ya kijani, njano au nyekundu.
View attachment 772723 View attachment 772724 View attachment 772725[/QUOTE
Nakuuunga mkono mkuu]
 
Habari wakuu,

Taa za barabarani zimekuwa kitegauchumi cha Polisi. Kila siku watu wanatozwa faini kwamba amepita na taa nyekundu.

Ukweli ni kwamba hizi taa saa singine hazieleweki hasa taa za dar. Unaweza kuta taa haziwaki au inawaka kijani tu au nyekundu au zote zinawaka na kuzima kwa pamoja.

Askari wetu wanatumia mwanya huo kunyanyasa wenye Madreva wetu.

Sasa imefika wakati tutumie saa ya kwenye taa za barabani kuondoa utata.

Naamini tukiwekewa traffic light timer (saa za kwenye taa za barabarani) zitaondoa utata wa kuwahi taa ya kijani, njano au nyekundu.
View attachment 772723 View attachment 772724 View attachment 772725
Wazo zuri sana...hongera sana..ni kweli hili ni tatizo kubwa sana na askari wa usalama barabarani wanatumia sana hii weakness kuwaonea madereva....hizi taa ni tech ya zamani...mwenye kusikia na asikie
 
Tatizo sio taa kukosa hizo counter ila tatizo ni wingi wa magari mkuu! Hizo taa haziwezi kua na efficiency kamwe sababu hata kama ikiwekwa counter bado itakua inaruhusu magari let say kwa dakika 2 tuu regardless huo upande una magari mia moja au matano tuu. System ambayo ni perfect ni ile ambayo inacheki idadi ya magari pande zote nne then inacalculate muda wa kuruhusu magari yapite kulingana na wingi katika upande husika. So kama upande mmoja una magari kumi itaruhusu kwa maybe dk moja na kama upande mwingine una magari 50 itaruhusu kwa maybe dakika 5 n.k
 
Back
Top Bottom