mandella
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,048
- 3,227
Mm sielewi hata hii kitu.Hiyo 27 umeitoa wapi mkuu
Mm sielewi hata hii kitu.Hiyo 27 umeitoa wapi mkuu
Tofauti kubwa sana. Eid ni baada ya siku 30 za kufunga mwezi Mtukufu wa Ramadhan au mwezi Mwandamo siku ya 29 baada ya Ramadahan. Na kwa maelezo hayo ni ni tarehe 25 au 26 kama BAKWATA walivyoeleza.Ulichoandika ni tofauti na tangazo la Bakwata
kama mwezi mali yake kwamba hatouandamisha kesho..sawaaWapinzani watapinga.