Mario Kejob
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 441
- 536
Awali tulitaarifiwa kuwa kutakuwa na majengo mawili katika station hiyo lakini mpaka sasa limejengwa moja tu. Lililojengwa ni la station yenyewe na pacha lake ni jengo la utawala. Anybody knows what happened here? Concerned and curious citizen.