imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,015
- 69,813
Kenya tokea wapate Katiba mpya bora hawana mambo ya kufichaficha kama hii Misukule ilioachwa na yule Mzee wa KihutuSijui kwanini Kenya huwa wanapenda sana kuichokoza tz
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya tokea wapate Katiba mpya bora hawana mambo ya kufichaficha kama hii Misukule ilioachwa na yule Mzee wa KihutuSijui kwanini Kenya huwa wanapenda sana kuichokoza tz
Uzushi sioNi jambo jema.
Ila Kenya wapunguze uzushi!
nchi ni ile ile shetani lakini kafa.Unateseka bure tu!
Nchi bado iko mikononi mwa ccm,
System ni ile ile..
Ilani ni ile ile...
Kilichobadirika ni bavicha kuungana na uvccm kuidemkia ccm
Ccm mbele kwa mbele
30 April 2021
EMMANUEL CHARLES KUSUKA AKIWASHUKURU WATANZANIA KWA NGUVU ZAO MILANGO YA MAGEREZA IMEFUNGUKA
30 April 2021
EMMANUEL CHARLES KUSUKA AKIWASHUKURU WATANZANIA KWA NGUVU ZAO MILANGO YA MAGEREZA IMEFUNGUKA
Kwa hiyo kaongopa kwa niaba ya kipenzi chako?
Mzoga dingi akoMbona ule Mzoga ulikuwa unawatoa Wafungwa usiku Magerezani na kuwapa Ubunge huyu Msigwa zinamtosha kweli?