Dar: Rais Samia Suluhu ahudhuria mechi ya Simba na Yanga

Ndomana tunataka Katiba mpya. Hapa Kuna Rais Samia na Rais Karia, nini hiki Sasa? Katiba mpya itamke kua Rais ni mmoja tu, kiongozi wa mhimili wa Serikali. Hao Marais wengine wabadilishwe majina waitwe hata Wenyeviti.

Mwishowe hata Mimi nitajiita Rais wa Nyumba yangu Sasa.
Mkuu kunatofaut Kati ya Rais samia na rais karia..
 
Back
Top Bottom