kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 5,988
- 6,646
Sio habari ya muhimu
aisee nashindwa kuelewa mtu anapata wapi guts za kuongea ujinga kiasi hiki, watu kama hawa wale lifetime ban tu..Mkuu, jaribu kuwa na adabu japo kidogo!
Mkuu kunatofaut Kati ya Rais samia na rais karia..Ndomana tunataka Katiba mpya. Hapa Kuna Rais Samia na Rais Karia, nini hiki Sasa? Katiba mpya itamke kua Rais ni mmoja tu, kiongozi wa mhimili wa Serikali. Hao Marais wengine wabadilishwe majina waitwe hata Wenyeviti.
Mwishowe hata Mimi nitajiita Rais wa Nyumba yangu Sasa.
Leta huo utofautiMkuu kunatofaut Kati ya Rais samia na rais karia..
Dah....kwani Ile pesa wameitoa tayari? Alisema wazi kabisa alipoapishwa.....ukimzingua mnazinguana...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭Hivi wazungu wanapomuona anafanya hivyo anafikiri wanamuelewaje?