Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,390
- 5,310
Leo kwenye derby ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba rais Samia amehudhuria mechi hiyo huku akiwa na tahadhari zote za kujikinga na ugonjwa wa Corona ikiwemo kuvaa barakoa na kufanya social distance.
Cha ajabu mashabiki wengine wamejazana huku wakimshangilia rais Samia na mpira bila kuvaa barakoa wala tahadhari yoyote dhidi ya ugonjwa wa Corona.
Cha ajabu mashabiki wengine wamejazana huku wakimshangilia rais Samia na mpira bila kuvaa barakoa wala tahadhari yoyote dhidi ya ugonjwa wa Corona.