kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,347
- 12,044
Baada ya 26/4 jogging inaweza kuruhisiwa tenaSawa kabisa. Acha wajihami.
Mnaweza kusingizia jogging kumbe ndiyo maandamano yenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baada ya 26/4 jogging inaweza kuruhisiwa tenaSawa kabisa. Acha wajihami.
Mnaweza kusingizia jogging kumbe ndiyo maandamano yenyewe.
Inaonyesha hujawahi kutana na kero za hawa watu....Huu ni ujinga mwingine. Wewe kamanda jiongeze vhukua fursa kuongea na Makamu wa Rais. Mazoezi miji mikuu yafanyike wapi? Kukataza pekee ni ujuha na subordination kwa boss wako.
SanaaaaHawa jamaa huwa ni kero halafu wababe barabarani.
Unazo takwimu za ajali zitokanazo na ajali?No research No right to speakSawa kabisa... Tusipozingatia utaratibu wa matumizi sahihi ya barabara ni rahisi kusababisha ajali.
Mama Samia alituhimiza tufanye mazoezi.
Unazo takwimu za ajali zitokanazo na ajali?No research No right to speak
Jamani ....,sasa hii Miili yetu hasa kina dada bila mazoezi itakuwaje!!♀️
Ukifuatilia sana matamko yao utapasuka kichwa!Mama Samia alituhimiza tufanye mazoezi.
Alihimiza tupande miti pia lakini bado sijaona watu wakipanda miti katikati ya bara bara.Mama Samia alituhimiza tufanye mazoezi.
Maeneo ya wazi yanamilikiwa na nani na yapo mangapi? Hiyo fursa imeshatumika na ukwamo mkubwa umekuwepo. Makamu Rais amesisitiza mazoezi. Watu wameitikia kwa kutumia barabara. Badala ya matamko ya kipuuzi ya kukataza, jeshi la polisi lingetumia busara kuongea na makamu wa Rais namna bora ya kutekeleza hilo siku za weekend.
Sio ujinga wajinga mkuu ni 98%Nchi iliyojaa ujinga uliokithiri.