DAR: Polisi yapiga marufuku mazoezi ya kukimbia 'Jogging' barabarani bila kupata vibali

Maandamano yatakuwa siku gani? kama ni siku ya jumamosi au jumapili iyo ni akili ya ziada
 
Huu ni ujinga mwingine. Wewe kamanda jiongeze vhukua fursa kuongea na Makamu wa Rais. Mazoezi miji mikuu yafanyike wapi? Kukataza pekee ni ujuha na subordination kwa boss wako.
Inaonyesha hujawahi kutana na kero za hawa watu....
 
Hii levels ya paranoias its too much now .... Tanzanians people's control by the fears sasa mmmmh
 
hii qali ..nchi Yetu wenywe lakini tunageuzwa kuishi kama wakimbizi
 
Sawa kabisa... Tusipozingatia utaratibu wa matumizi sahihi ya barabara ni rahisi kusababisha ajali.
Unazo takwimu za ajali zitokanazo na ajali?No research No right to speak
 
Maeneo ya wazi yanamilikiwa na nani na yapo mangapi? Hiyo fursa imeshatumika na ukwamo mkubwa umekuwepo. Makamu Rais amesisitiza mazoezi. Watu wameitikia kwa kutumia barabara. Badala ya matamko ya kipuuzi ya kukataza, jeshi la polisi lingetumia busara kuongea na makamu wa Rais namna bora ya kutekeleza hilo siku za weekend.

Kwanini wasitumie barabara za mitaani wanatumia barabara kuu?mbn sisi tunakimbia za mitaani kukwepa magari hao wengine wanatafuta nini huko barabara kuu?wachepuke tu hamna namna!!!
 
Hii yote ni namna ya kujiandaa kukabiliana na April 26 tu,nothing else.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom