FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
Unataka namba zitajwe ili mwenye mali aingie mitini? Hiyo ni funika kombe tu..Wanatumia boiler plate explanation ya mtiririko ule ule kwa sababu ni waongo.
Utaanzaje kulifuatilia na kulizingira gari suspect ambalo hujaangalia namba zake? WAONGO!
Bawacha tatizo akili hamna..