Wote wanazisikia kwenye Filamu tu.wasameheNinashaka na ufikiri wako, sorry lakini.mtu anakurushia risasi unamkamataje labda?.kwenye matukio yote hayo mbona yako wazi hao ni majambazi.ongea tu ila omba kama unakibiashara chako kimekuwa wakakuvamia.
Hongera jeshi la polisi kanda maalum Dar