hivi huyo Bdodi ndiye alikuwa mmoja wa waanzilishi wa shule za wakulima ?zilipotelea wapiAll in all ninachotaka kusema ni kwamba wajumbe wa Kamati kuu na Halmashauri kuu za wakati ule walikuwa na busara sio hawa wa sasa!!! Wale walikuwa na uthubutu wa kumwambia mwenyekiti wao kuwa ALIKUWA UCHI anabidi kujisitili; hawa wa leo hata kama Magufuli ni mtupu watasema amevaa Nguo!!!
hivi huyo Budodi si ndiye alikuwa mmoja wa waanzilishi wa shule za wakulima ?zilipotelea wapiBudodi sina uhakika kama alikuwa na busara hizo , kwani Nyanza co op union isingekuwa inachezewa kama ilivyochezewa au kutumika kwa maslahi us wachache, labda busara ya kutetea maslahi ya kikundi chair sawa.