mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,178
- 3,436
Kweli nimeamin majina na tabia za watu hufananaUnataka watu wasahau kwani watasahau lini kutwa wanakumbushwa,
Mwandishi namsifu amekuja na utetezi wa hoja,
CCM sihami mpaka nakufa tunahazina kubwa,
Karibu Samia nitakuja airport kesho